Ukisoma katika biblia Mwanzo 2:24 haijalazimisha kuwa ili unganiko lenu liwe halali ni lazima ndoa ifanyike kanisani (kwa Wakristo).
Kufunga ndoa kidini ni UTARATIBU WA KIBINADAMU ULIOPANGWA AU NI UTARATIBU WA "LAZIMA" WA MUNGU?
Uko vizuri kaka umetoa maelezo mazuri sana kwa aliye makini atakuelewa. Pia umenisaidia sana maana soon nina project ya kujenga nyumba ya ghorofa moja. Hii itanisaidia kukadiria materials na gharama za uendeshaji wa kazi pia.
Mbowe huwa anafukuza au kuwazulia skendo wote wanaotaka kuwania Uenyekiti wa chama sembuse kujadili kumfukuza!! Atawaroga woteee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dudubaya anauhakika na hao watu ndio maana amesema kuwa kama watakutwa na MARINDA aende jela! Hivi kwanini watajwe wao? Sio Mara ya kwanza kusikia tetesi hizo Kwa watuhumiwa huenda Kuna ukweli ndani yake!
BONYEZA MENYU YA M-PESA FATA HATUA HIZI;
(1)*150*00#
(2) 4
(3) 4 (Namba ya kampuni ni 339999)
(4) Namba ya kumbukumbu ni Namba yako ya simu.
(5)Kiasi
(6)Namba ya siri.......
NINACHOWAPENDEA HAWA TTCL NI KIFURUSHI CHA JIACHIE YAANI UKIUNGA BANDO LA DATA, DAKIKA AU SMS UTATUMIA HADI SIKU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.