Recent content by Baba Omega

  1. B

    JamiiForums Tanzania Audio ya tangazo la Ndorobo na Mangi

    mbna haifunguki?weka vizuri
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    nashukuru kwa Uzi huu mzuri sana! Swala langu ni kwamba nataka kuagiza gari toka Japan;FOB price yake inauzwa $723 Toyota progress ya mwaka 2000 mpaka inaingia nchini na kuclear kila kitu na TRA. itanitoka kama bei gn?;na unapoagiza gari ni vitu gani(fees) utatakiwa kulipa mpaka unapata gari...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Abiria unachelewaje Ndege (check-in) Airport?

    HV kupanda ndege ni Bahati?
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kila nikistuka usingizini nakuta neti (Chandarua) imechomolewa

    Hahah;we Adolph na we we!!!!!!!!?nn hiki sasa?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kila nikistuka usingizini nakuta neti (Chandarua) imechomolewa

    Nmepitia ushauri wenu mlionipa;nmechukua ambao naona unafaa na mwingine mmenichekesha sana japo mlionichekesha nahisi mnadhani natania;Aliyeuliza uchunguzi niliufanyaje ni kwamba SIKULALA na neti haikuchomolewa;nikilala tu nikishtuka nakuta tayari;pia mm huwa silali vibaya kwamba narusharusha...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kila nikistuka usingizini nakuta neti (Chandarua) imechomolewa

    Habari wana JF, Kila ninapolala usiku huwa nachomekea neti vizuri lakini huwa napata ndoto mbaya na ninapostuka huwa nakuta neti imechomolewa. Na hii imenitokea mara nyingi sana, nimefanya uchunguzi kuona kama huwa nachomoa mimi lakini nikagundua sio mimi.
  7. B

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo Serengeti-Mara;nije Mbeya jiji;pwani;morogoro manispaa;Dar;Geita;Mwanza.Contact 0787-350747;Idara ya Sekondari
  8. B

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hivi hakuna anaetaka kuja Mara-Serengeti;tuhamie either Dar;Mwanza au Morogoro;-Idara ya Sekondari;contact:0787-350747
  9. B

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nani anataka kuja Serengeti Mara;ili mdogo wangu aende Morogoro;Mwanza;Dar;Kahama?nicheki kwa 0787/350747
  10. B

    JamiiForums Tanzania Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

    May be;japo hatuwezi kuamini taarifa za mtoa Uzi lakn yawezekana;salsa ewe uliyeapply jiulize kama 90% hawajakidhi vigezo;je hzo 10% utakuwepo??
  11. B

    JamiiForums Tanzania Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

    Tutakuthibitishia vp ikiwa sisi sio wahusika na pia ikiwa na sisi tunasikia hizo habari kama wewe?vp uliapply nini?coz yaonyesha umeshapata shock
  12. B

    JamiiForums Tanzania Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

    Hahah:tz bwana blah blah kibao;msihofu mlioapply kuweni na moyo wa subira mnaweza mkapata hzo nafasi ;who knows
  13. B

    JamiiForums Tanzania Tb Joshua atabiri mambo makubwa

    Nasubiri yatokee ndipo nitaamini;kuona ni kuamini
Back
Top Bottom