Recent content by Baba Hassan

  1. Baba Hassan

    Nahitaji ushauri: Nahisi nimekurupuka “kumhifadhi” huyu dada mjamzito

    Ndugu yangu kama uliamua kutenda wema kwa nia na roho safi basi nakusihi na nakuomba usirudi nyuma endelea na huo wema wako isipokuwa tu kipindi chote utakacho ishi nae huyo bint kuanzia sasa na kuendelea inabidi kiwe kipindi mtambuka kisheria nikiwa na maana upitie katika mamlaka husika na...
  2. Baba Hassan

    Urusi yapeleka msaada wa vifaa vya ugonjwa wa Corona nchini Marekani

    Naam hao [emoji111] wapoo utawasikia tu muda si mrefu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Baba Hassan

    Kwanini walinzi wa viongozi huvaa earphone ?

    Wakivaa earphone ujue hapo wana sikiliza ngoma za weusi haswa ile waporoo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Baba Hassan

    Camouflagers na informers

    Yule ni kiboko aisee matukio yote ya vurugu anakuwepo sijui kahamishiwa wapi siku hizi Kuna moja hiyo ilitokea ajali hapa mandela road saa nane usiku akawa na wale vibaka wa barabarani wakaiba na kuondoka halafu dakika chache akarudi kuzuia magari yasipite na kutafuta msaada wa kupeleka...
  5. Baba Hassan

    Camouflagers na informers

    Napata picha sasa ya kijana mmoja hivii hapa mtaani Ubungo riveside sijui alipotelea wapi yule kijana kila akikamatwa anatoka tena bure kabisaa wenzie wana lalamika wametoa hela Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Baba Hassan

    Cold War Espionage: Makomando wa KGB walimhoji na kumfanyia recruitment Senator John MacCain alipochukuliwa mateka (Missed In Action) vita ya Vietnam

    Jibu zuri mno [emoji106] lakini katika yote kwa yote naomba nikuambie au nikusanue kitu kuwa katika nyanja hizo unaweza kuwa na mfumo imara wenye vifaa vya kisasa na pesa za kutosha lakini bado mahasimu wako wakaweza kutumia huo huo uimara wako pesa zako na vifaa vyako vya kisasa katika...
  7. Baba Hassan

    Cold War Espionage: Makomando wa KGB walimhoji na kumfanyia recruitment Senator John MacCain alipochukuliwa mateka (Missed In Action) vita ya Vietnam

    Kwa hayo maelezo yako nazidi kupata uhakika kuwa Senator John McCain alikuwa agent Kwa maana kama ungesema aliipenda urusi mpaka kifo chake nigeitilia mashaka hii habari Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Baba Hassan

    Cold War Espionage: Makomando wa KGB walimhoji na kumfanyia recruitment Senator John MacCain alipochukuliwa mateka (Missed In Action) vita ya Vietnam

    Ujasusi ni uwanja mpana mno usio na wigo wala mipaka hivyo unapo zungumzia ubora wa CIA ni vizuri ukaeleza ubora wake upo katika vifaa watendaji au ukusanyaji taarifa {Kwa njia ya fedha au bure} nk Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Baba Hassan

    Unadhani ni hatua ipi itakayo fuatia baina ya Marekani na Urusi kufuatia lundo la Migogoro

    Habari wana Jamii Intelligence inaomba tupate kuchambua hizo fikra hapo chini KARIBUNI SANA Unadhani ni hatua ipi itakayo fuatia baina ya Marekani na Urusi kufuatia lundo la Migogoro iliyopita na huu mgogoro wao unao endelea Ikizingatiwa kwamba hapo awali palikuwapo na taarifa kuwa Urusi...
  10. Baba Hassan

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Naomba niwe mwanafunzi waki katika masuala ya utambuzi na tahajudi japo kwa uchache Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Baba Hassan

    Mwenye simulizi za Willy Gamba anisaidie

    Naomba unisaidie na mie nivipate mkuu ili nisafishe ubongo kiongozi Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Baba Hassan

    "Hofu"- Kitabu cha Wiily Gamba kitukumbushe madhila yaloipata Tanzania kwenye miaka ya 70, kinachotokea sasa hivi ni mrejesho?

    Mkuu ni wapi naweza kupata vitabu vya aina hiyo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom