Nampa pongezi nyingi A.J kwa kushinda pambano la leo...ila nilitamani sana kuona huyu Wladimir anamtandika kisawasawa huyu muingereza maana mda wote comentators walikuwa wanatamka Joshua Joshua as if pambano lilikuwa ni Joshua vs Joshua.
Halafu kuna kitendo flani cha mafundi wengi hasa hawa wa vitu vya umeme mfano television, Ukimpelekea na kumwambia tatizo utamuona kaifungua halafu katoa kifaa flani halafu anaanza kukigongagonga na bisibisi sambamba na kukipuliza
Sasa ukijaribu kuangalia anachokifanya hapo mara nyingi ni...
Sometimes tunalalamikia sana lakin ukweli nikua hatumjui Mungu vzuri kwa sababu hatuna bidii ya kumtafuta, lakin hata tumtafutapo tumelenga zaidi kwa mahitaji ya mwilin kuliko rohoni ndio maana mwisho wa siku tunaishia kusemana na kusengenyana kwasababu hatumjui Mungu vzuri
Ayubu 22:21 Mjue...
Daah sasa mbona Kanisa hapo halihusiki na chochote?? Wewe kama unataka si umzuie mkeo asiende huko lakin sio Makanisa yafungwe kisa mkeo hatulii nyumban coz kama Makanisa ya kilokole yakifungwa je kwa waumini wengine itakuwaje? Bro think twice i hope wewe ni mtu makini lakin jaribu kuwa mtu...
Njia unayotaka kupita mpaka Ghana si nzuri kabisa kama wachangiaji waliotangulia wasemavyo huko kwenye nchi nyingi za Africa magharibi zina machafuko sana,na zaidi ya yote hiyo safari itakugharimu pesa nyingi kuliko kawaida kwa ushauri wangu fanya kufikiria gharama utakazo kutana nazo kabla ya...
Sometimes inabid tujizuie kama wanadamu,kama unaona TB Joshua ni muongo na sio nabii kweli wa Mungu kwani ni lazima uanze kumhukumu?? Ukumu ni juu ya Mungu pekee whether he's wrong or right let God himself punish him but not from our views or opinions
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.