Msama Group Company ni janga kabisa

Msama Group Company ni janga kabisa

Ndugu zangu wana jamii forum, kwa mtazamo wangu naona maswala ya kuwasema watumishi wa Mungu tunakuwa tumekosea. kama wewe uliyetoa maoni yako kuhusu Mama Rwakatare, Gwajima, Rusekelo,kakobe na wengineo naona hapo umekosea kama wewe ni mkiristo soma biblia kwanza inasema katika kitabu cha mathayo. inasema usitoe kibanzi ndani ya jicho la mwenzako wakati wewe umejaa boriti katika jicho lako. na maanisha ukimaliza kutoa madhaifu ya wenzako nakuomba utoe na ya kwako hili tukujadili. pia kumbuka mtoa hukumu ni Mungu tu. ubarikiwe. kuhusu misharaha kutolipwa wafanyakazi hiyo haimbariki Mungu kabisa hivyo mliotajwa jirekebisheni hili Mungu apewe utukufu. by FELIX
 
mwezenu ameokoka na anampenda bwana...

Aisee ndugu zangu hapo ni mjini. Si kila asemae bwana bwana anamaanisha. Huyu bwana nlikumbana nae wakati fulani nlikua nikitafuta nyumba ya kupanga. Mara dalali akaniambia ipo moja mbezi kufika ili nilipie nikakumbana na huyo Msama na hiyo group of company. Ilipoishia ustake kufahamu ila cha msingi pesa yangu alirudisha japo kwa usumbufu na madharau. Kifupi ni mtu ambae si mstarabu na mjanjamjanja kwani nlipofuatilia nliambiwa alikua taxi driver na dalali mda mrefu wanaoishi kinondoni kuanzia manyanya had I Biafra wanamfahamu. Baadae akakutana na wajita wenzie wenye mawingu FM. Na hao ndo wenye hizo kampuni na nyumba walizopora viwanja vya
 
Ndugu zangu wana jamii forum, kwa mtazamo wangu naona maswala ya kuwasema watumishi wa Mungu tunakuwa tumekosea. kama wewe uliyetoa maoni yako kuhusu Mama Rwakatare, Gwajima, Rusekelo,kakobe na wengineo naona hapo umekosea kama wewe ni mkiristo soma biblia kwanza inasema katika kitabu cha mathayo. inasema usitoe kibanzi ndani ya jicho la mwenzako wakati wewe umejaa boriti katika jicho lako. na maanisha ukimaliza kutoa madhaifu ya wenzako nakuomba utoe na ya kwako hili tukujadili. pia kumbuka mtoa hukumu ni Mungu tu. ubarikiwe. kuhusu misharaha kutolipwa wafanyakazi hiyo haimbariki Mungu kabisa hivyo mliotajwa jirekebisheni hili Mungu apewe utukufu. by FELIX
nani hajui kwamba mama rwakatare halipi mishahara pale st mary,na kama walimu kutoka kenya anaweza kuwafanyia mpango watimuliwe na idara ya uhamiaji pale wanapokomalia madeni yao yalipwe,hujui kama rwakatale ana kashfa ya kuiba umeme?unajua kupata ubunge viti maalumu pesa ndefu ilitembezwa kwa wapiga kura? unajua gwajima ana kashfa ya kutembea na mke wa mtu na kesi iko mahakamani? kwani ni uongo kwamba lusekelo anapokea sadaka kwa m-pesa,tigo pesa na airtel money? na huwa anatunzwa pesa kanisani pale anapohubiri kama hadija kopa anavyotunzwa anapoimba taarabu? acha kukaririshwa vitu,wewe ni mtaji wa hao jamaa,unavuja jasho wiki nzima,wao wanakula bata,halafu unachukua makusanyo yako unawapelekea,ukishawapa wananunua magari bei mbaya wakati wewe unapiga kwa mguu au daladala,wanajenga majumba ya ukweli wakati wewe ni upangaji,wanajifanya kukuombea upone wakati wao wanatibiwa nje ya nchi,kanisa halina wazee wa baraza kama wapo ni wapiga dili, WAJINGA NDIO WALIWAO,YESU ALIACHA IMANI NA SIO DINI,HATA KWENYE BIBLE YESU KAHUBIRI KANISANI MARA CHACHE MARA NYINGI ALIKUWA MITAANI TENA KWA KWA KUTUMIA PUNDA SIO VXV8 AU HUMMER
 
nani hajui kwamba mama rwakatare halipi mishahara pale st mary,na kama walimu kutoka kenya anaweza kuwafanyia mpango watimuliwe na idara ya uhamiaji pale wanapokomalia madeni yao yalipwe,hujui kama rwakatale ana kashfa ya kuiba umeme?unajua kupata ubunge viti maalumu pesa ndefu ilitembezwa kwa wapiga kura? unajua gwajima ana kashfa ya kutembea na mke wa mtu na kesi iko mahakamani? kwani ni uongo kwamba lusekelo anapokea sadaka kwa m-pesa,tigo pesa na airtel money? na huwa anatunzwa pesa kanisani pale anapohubiri kama hadija kopa anavyotunzwa anapoimba taarabu? acha kukaririshwa vitu,wewe ni mtaji wa hao jamaa,unavuja jasho wiki nzima,wao wanakula bata,halafu unachukua makusanyo yako unawapelekea,ukishawapa wananunua magari bei mbaya wakati wewe unapiga kwa mguu au daladala,wanajenga majumba ya ukweli wakati wewe ni upangaji,wanajifanya kukuombea upone wakati wao wanatibiwa nje ya nchi,kanisa halina wazee wa baraza kama wapo ni wapiga dili, WAJINGA NDIO WALIWAO,YESU ALIACHA IMANI NA SIO DINI,HATA KWENYE BIBLE YESU KAHUBIRI KANISANI MARA CHACHE MARA NYINGI ALIKUWA MITAANI TENA KWA KWA KUTUMIA PUNDA SIO VXV8 AU HUMMER

point tupu...
 
Tar 70 ipo unashaangaa waulize staff wa msama group of company mpaka leo hiii tar 17 wanasubiri mshahara wa mwezi wa pili bado!!! Jumlisha hapo ndo utajua kama ipo au haipo noooma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom