Recent content by baadae sana

  1. baadae sana

    Michuano ya CAF haina tija, we umeona wapi timu inaomba mechi zao zote zichezwe Tanzania?

    Wameomba mechi yao moja wacheze Tanzania nasio mechi zao mbili wacheze bongo.mechi yao ni moja
  2. baadae sana

    Video: Shabiki wa Simba achoma moto jezi zote, pole Vunja Bei vichaa wameharibu sana

    matola anasubiri nini?aondoke,inonga aache kucheza na jukwaa simba itoe hela isajili namba 9 ni tatizo,kakolanya aongee na walinzi wake
  3. baadae sana

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    kwa utaratibu uliopo manara mpaka sasa ni mfungwa
  4. baadae sana

    Je, ni sahihi Kanisa Katoliki kuzuia Waumini wake kwenda kuombewa kwa Mtume Mwamposya?

    Unaweza kwenda na hirizi kanisani katoliki,he!!!???unaweza kwendanayo kwenye viwanja vya kawe muda ule wa maombi?jiangalie wewe...
  5. baadae sana

    Napambana na COVID-19 deadly Delta

    Mbona hamuongelei kuhusu kuchanjwa,akipata nafuu chanjo muhimu au anasemaje?
  6. baadae sana

    Tumkumbushe Mchungaji mtume Mwingira

    Kwani jpm alikuwa kiongozi wa dini?siwaelewi!
  7. baadae sana

    Maalim Seif, jembe la Zanzibar

    Sasa ACT mnaanza kunivuruga akili,mmekosa urais sasa hata umakamu muukatae?mlitaka seif afanye nn,mnaujua nyinyi umakamu!!!
  8. baadae sana

    Ufugaji wa Bata: Aina za bata, ujuzi, gharama, changamoto, faida na masoko

    Pia ukifugia ndani unaondoa kero kwa majirani,
  9. baadae sana

    Kanuni zangu zinanishinda

    Sasa ndege mm yanini?
  10. baadae sana

    VIDEO: Jinsi ya kuitumia JamiiForums (Wageni na Wanachama)

    Saaaaaafi kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom