Umekuja na wazo zuri sana. Mm nawashauri kwanza wasiwe karib n wanasiasa. Pili wale wenye vigezo waangalie utaratib wa kwenda A level. Wengine kama wakiwez waende NACTE wanaweza saidiwa kupata vyuo.
Kama mashine zililetwa used unategemea zisiharibike!! Na kwann wizara ndio ihusik na utengenezaj n sio muhimbil. Zinunuliwe mpya tuachana n kukarabat vitu used.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.