Recent content by B52

  1. B

    ITV, Mengi to be dealt with soon

    Nimekubali kweli wewe ni KANDAMBILI-2, acha wadau waendelee kukukanyagia.
  2. B

    Laughter series: Press Release from VATICAN

    imetulia mjomba!
  3. B

    Waraka wa Shigongo kwa Ze Original Komedi

    Unaturudisha kule kule kwa mafisadi. Kwanini Shigongo atoe ushauri baada ya yeye nae kuoshwa, alikuwa wapi siku zote kutoa ushauri huo. Na pia yeye anavyowachafua watu kwenye magazeti yake mbona wasio na pa kusemea wewe hujawatetea??
  4. B

    Tujikumbushe philosophy

    Hii inamfaa zaidi Chenge!
  5. B

    Je tuhahitaji tena Ze Utamu?

    Kama ni kuchafuliwa wamechafuliwa watu wakubwa wengi mno duniani! Ni usanii tu wa kiujanja ujanja. Mfano kuna picha ilisambaa sana miaka miwili iliyopita ikimuonyesha Osama akimla tigo Bush, kwa kuwa ilionekana ni usanii tu hakuna mtu duniani anahangaika na hilo. Sasa kama picha yenyewe kuhusu...
  6. B

    Anatafutwa na polisi

    vipi bado hajapatikana tu? tupe updates mzee
  7. B

    Laughter series: Lesson from the Arabs

    ebana eeeeeeeh hii kali...
  8. B

    Hatutofanya makosa yale ya muungano wa tanzania

    Sio faida za Nyerere, hata yeye alirithi toka kwa Waingereza!!
  9. B

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    Kuna watu wanasema kuna kero za muungano, mimi nafikiri kuna kero ya Zanzibar!!! Kwanini tusiachane nao wajue hamsini zao?? Tunachotafuta ni nini hasa? Tutaendelea kuwabembeleza mpaka lini? Hiki kizazi cha wazee wanaong'ang'ania muungano kitapita muda sio mrefu, then tutasahau yote haya!
  10. B

    Ukipigiwa simu pokea vinginevyo!!

    Hii kali mzee
  11. B

    The road towards 2010 Elections

    Katika hao uliorodhesha hakuna hata mmoja
Back
Top Bottom