Unaturudisha kule kule kwa mafisadi. Kwanini Shigongo atoe ushauri baada ya yeye nae kuoshwa, alikuwa wapi siku zote kutoa ushauri huo. Na pia yeye anavyowachafua watu kwenye magazeti yake mbona wasio na pa kusemea wewe hujawatetea??
Kama ni kuchafuliwa wamechafuliwa watu wakubwa wengi mno duniani! Ni usanii tu wa kiujanja ujanja. Mfano kuna picha ilisambaa sana miaka miwili iliyopita ikimuonyesha Osama akimla tigo Bush, kwa kuwa ilionekana ni usanii tu hakuna mtu duniani anahangaika na hilo. Sasa kama picha yenyewe kuhusu...
Kuna watu wanasema kuna kero za muungano, mimi nafikiri kuna kero ya Zanzibar!!! Kwanini tusiachane nao wajue hamsini zao?? Tunachotafuta ni nini hasa? Tutaendelea kuwabembeleza mpaka lini?
Hiki kizazi cha wazee wanaong'ang'ania muungano kitapita muda sio mrefu, then tutasahau yote haya!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.