kinachozungumzwa hapo sio kwamba mwanaume amekataa majukumu yake au hajui wajibu wake...lkn je mwanamke yupo tuu kwa ajili yake peke yake au yupo kwa ajili ya mumewe pia? kwann vyake viwe vyake na vya mumewe ndo viwe vya wote?
basi huyo mume kwann aoe,si angezaa tuu na akawa anamlipa? jukumu ni...
vyovyote msemavyo lkn uhalisia ndio huo kwenye jamii yetu...cha mume ni chetu lkn cha mwanamke ni chake na jamii yake...wengi wapo hivo...wanatofautiana tuu ukubwa wa tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo ni kiswahili chetu kinashindwa kutofautisha..lkn kizungu kiko sawa kuna "temptation" na "test" ....
MUNGU anaruhusu "test" kwa maana km utafeli hiyo test hauwezi ingia dhambini,ila unakuwa umekosa nafasi ya kupanda daraja...lkn temptation ambayo huifanya shetani,lengo lake ni kukuingiza...
Operation red sea..mm hizi ndio muvie zangu...huwa sifurahii movie za kisayansi na computer nyingi..japo najua muvi ni uongo lkn hizi za kisayansi naona zimezidi,naona km naangalia katuni tuu..
mimi sikupokea mchango wwt kutoka kwa rafiki zangu..sio kwamba ni tajiri,wala si kwa sabb sitoagi,wala si kwa sabb nina roho mbaya n.k...bali kwa sabb nilifikiria nikaona mm nfo naenda kufurahi,kwann nisumbue watu..hivo sikugawa kadi za michango.ila niliweka wazi "mtu akitaka kutoa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.