Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,369
Si kila mwanamke unadanganya au unaingia kichwa kichwa hasa pale unapokuwa na girlfriend au mke.
Wengine wanakupa mzigo makusudi baada ya kula mzigo hivo vitimbwi utajuta.
Kwanza kumpata huyu mchepuko ilikuwa kazi,alikuwa anakuja gheto usiku mzigo sigusi siku nne mfululizo na kubaka sitaki bila ridhaa ya mtu,siku ya tano asubuhi alipoondoka nikampigia simu nikamwambia nina mchumba wa kudumu naomba usije tena.
Si nishaona mzigo sipati nani wa kulala na bonge la toto siku nne hugusi mzigo.
Akapiga simu "nakuja usiku tuongee",alipoingia tu alikuja na kipochi chake size ya kati,nikahisi hapa kabeba vinguo,akaenda bafuni akaoga,alipomaliza akapanda kitandani akaniambia nina hamu tufanye,kwa vile nishaamua simtaki na kwa mda huo nishajua madhaifu yake nilikataa kulala naye,aiseee akasema lazima unifanye ni haki yangu kama mwanamke,nikajiuliza haki gani wakati siku nne ulininyima.
Kosa nililofanya huo usiku baada ya kusumbuliwa sana nikala mzigo kwa hasira.Kumbe ndo nimekata ticket ya mgogoro.
Asubuhi alipoamka akafua pants zake akazianika bafuni halafu akaondoka.Jioni ananipigia simu,"upo home "? Nikamwambia nipo ila usije "akasema lazima nije nataka nichukue panties zangu"
Nikaziweka kwenye mfuko nikamwambia bodaboda ampelekee.
Kesho yake nikamdanganya, my girl kaja,anapiga simu nikamwambia leo nipo na mke usije na usipige simu.
Kwa vile nyumba mbele ina geti akazungukia nyuma ya nyumba akaanza kugonga dirisha.
"Fungua mlango mpenzi leo nina ham sana nimemiss *oo wako".Anapiga simu sipokei kakaa hapo kugonga dirisha kwa masaa mawili mara alie,baada akaondoka.
Kweli ningekuwa na my baby girl ndani ingekuwaje,au kama wife ndo yupo ndani.
Asubuhi kaja na polisi akidai nimempa mimba halafu nimemwacha.
Tumeenda kituoni nikawaambia naomba tuende hospital tupime kama ana mimba,wakati najua nimekula siku moja tena kwa zana.Akagoma
Baadaye amebaki analialia tu.
Wakuu siyo kila mwanamke wa kumtongoza.
Nashukuru Mungu kutua huu mzigo
Wengine wanakupa mzigo makusudi baada ya kula mzigo hivo vitimbwi utajuta.
Kwanza kumpata huyu mchepuko ilikuwa kazi,alikuwa anakuja gheto usiku mzigo sigusi siku nne mfululizo na kubaka sitaki bila ridhaa ya mtu,siku ya tano asubuhi alipoondoka nikampigia simu nikamwambia nina mchumba wa kudumu naomba usije tena.
Si nishaona mzigo sipati nani wa kulala na bonge la toto siku nne hugusi mzigo.
Akapiga simu "nakuja usiku tuongee",alipoingia tu alikuja na kipochi chake size ya kati,nikahisi hapa kabeba vinguo,akaenda bafuni akaoga,alipomaliza akapanda kitandani akaniambia nina hamu tufanye,kwa vile nishaamua simtaki na kwa mda huo nishajua madhaifu yake nilikataa kulala naye,aiseee akasema lazima unifanye ni haki yangu kama mwanamke,nikajiuliza haki gani wakati siku nne ulininyima.
Kosa nililofanya huo usiku baada ya kusumbuliwa sana nikala mzigo kwa hasira.Kumbe ndo nimekata ticket ya mgogoro.
Asubuhi alipoamka akafua pants zake akazianika bafuni halafu akaondoka.Jioni ananipigia simu,"upo home "? Nikamwambia nipo ila usije "akasema lazima nije nataka nichukue panties zangu"
Nikaziweka kwenye mfuko nikamwambia bodaboda ampelekee.
Kesho yake nikamdanganya, my girl kaja,anapiga simu nikamwambia leo nipo na mke usije na usipige simu.
Kwa vile nyumba mbele ina geti akazungukia nyuma ya nyumba akaanza kugonga dirisha.
"Fungua mlango mpenzi leo nina ham sana nimemiss *oo wako".Anapiga simu sipokei kakaa hapo kugonga dirisha kwa masaa mawili mara alie,baada akaondoka.
Kweli ningekuwa na my baby girl ndani ingekuwaje,au kama wife ndo yupo ndani.
Asubuhi kaja na polisi akidai nimempa mimba halafu nimemwacha.
Tumeenda kituoni nikawaambia naomba tuende hospital tupime kama ana mimba,wakati najua nimekula siku moja tena kwa zana.Akagoma
Baadaye amebaki analialia tu.
Wakuu siyo kila mwanamke wa kumtongoza.
Nashukuru Mungu kutua huu mzigo