Leo kwenye makanisa yote ya KKKT mashariki na pwani umesomwa waraka ambao ni kama umemsafisha Askofu Malasusa na wakati huohuo kama halmashauri kuu imekiri kuwa alichofanya Malasusa ni kosa.
Sasa najiuliza kwanini Askofu hakuwaomba radhi tu Maaskofu wenzake badala ya kuendelea na misimamo...
Tafuteni kwanza Ufalme wa Mungu na Haki yake, na hayo mengine yote mtazidishiwa
PIA
Mtwikeni yeye fadhaha zenu zote, maana Yeye ni Mtulivu na Mnyenyekevu, atawakweza kwa wakati wake
PIA
Bwana asipoujenga mji waujengao wafanya kazi Bure
Mungu hawezi kuingilia kati kitu ambacho ww mwenye ndo ulikipenda, labda utubu kwanza kuwa ulifanya makosa, sasa sie ndio tumechagua wabunge wengu wa ccm na rais wa ccm so mvumilie tu
Tulikuwa na zoezi la kuhakiki watumishi hewa, baada ya kumaliza tumenunua mdege mpya 2 tena ka hela zetu za ndani, hivyo endeleeni kusubiri serikali inawafikiria tena sana msiwe na wasiwas
Tatizo unafikiri kwenye ndoa watu wanakosana kwa ajili ya kusalitiana tu, sio hivo kaka na ukiwa na mtazamo huu ur lost, kwenye ndoa kuna kupishana kwingi sana, hata usipomtomba mkeo vizuri ni shida, uvumilivu kusameheana na kuchukuliana ndio msingi wa ndoa, ndoa ni huduma kaka, u must be...
Asilimia kubwa ya wachangiaji wanamlaumu tu mtoa mada, tunanyoosha kidole kimoja wakati vinne vinatuelekea wenyewe, hivi maomba kuuliza: mtu anayeua kwa kuchunja na mwingine kwa kunyonga na wengine kwa risasi na mwingine kwa sumu, na mwingine kwa kuloga wote ni wauaji, vivo hivyo, ukitombwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.