Recent content by Ayubu Massau

  1. Ayubu Massau

    Wizara ya kilimo: Maboresho ya sera ya Taifa ya kilimo ya mwaka 2013

    Wizara ya kilimo kupitia ofisi ya katibu mkuu walitoa taarifa kwa umma tarehe 4/6/2019 kuhusu kufanya maboresho katika Sera ya kilimo ya taifa ya mwaka 2013 na mwisho wa kukusanya mchango ni tarehe 30/6/2019. Hivyo na waasa wadau na watanzania ambao wanapenda kutoa mchango wao katika maboresho...
  2. Ayubu Massau

    Ushauri kwa Tundu Lissu: Usitumie vyombo vya habari vya kimataifa kuishutumu Serikali kwani huu ni uhaini

    Na, Eng. Ayubu Massau Morogoro Habari Mheshimiwa Tundu lissu Nianze kwa kukupa pole kwa madhira ya kupigwa risasi, Jijini Dodoma, tarehe 7 septemba 2017. Hakika kila binadamu aliyeumbwa kwa nyama aliguswa na kukuombea kwa Mungu upone haraka , kwa maana ni madhira...
  3. Ayubu Massau

    Sasa nimeelewa mwongozo ( blue print) ya Tanzania ya viwanda ya Rais Magufuli, watanzania tumuunge mkono

    SASA NIMEELEWA MWONGOZO ( BLUE PRINT) YA TANZANIA YA VIWANDA YA RAIS MAGUFULI ,WATANZANIA TUMUUNGE MKONO. Ndugu , Watanzania Na Wanabodi Huu ni mwaka mpya wa 2018, ambao sasa ndio mwezi wa nne umeanza ukiwa mbichi kabisa , lakini mwaka huu unasogeza mbele na kutuelekeza tukiwa...
  4. Ayubu Massau

    Tukubali au tukatae kwenye hii sayari ya Dunia katika nyanja ya Soka hakuna kama Pele wa Brazil

    MFAHAMU GWIJI LA MCHEZO WA MPIRA DUNIANI Edson Arantes do Nascimento( PELE) Alizaliwa tarehe 23 oktoba 1940, anatajwa kama mchezaji wa bora wa vipindi vyote katika historia ya mchezo wa soka. Mwaka 1999, alipigiwa kura na kuwa “mchezaji bora wa karne” na Shirika la International Federation...
  5. Ayubu Massau

    Kauli mbiu yetu ya Tanzania ya viwanda imejifunza nini kutoka China

    KAULI MBIU YETU YA TANZANIA YA VIWANDA IMEJIFUNZA NINI KUTOKA CHINA. SEHEMU YA NNE. Mafanikio Ya China Katika Soko. Swali ambalo tunatakiwa tujiulize je china imefanikiwa katika soko la bidhaa zake baada ya kufanikiwa katika Mapinduzi ya viwanda? Jibu ni NDIYO na HAPANA Sababu za NDIYO 1...
  6. Ayubu Massau

    Kauli mbiu yetu ya Tanzania ya viwanda imejifunza nini kutoka China

    KAULI MBIU YETU YA TANZANIA YA VIWANDA IMEJIFUNZA NINI KUTOKA CHINA. SEHEMU YA TATU Je? Kulikuwa Na Utofauti gani Katika Jaribio La Nne Kuitafuta China Ya Viwanda. Jaribio la nne , Mapinduzi ya viwanda nchini china,mnamo mwaka 1978 chini ya Uongozi wa Rais Deng Xiaoping,china ilikataa...
  7. Ayubu Massau

    Kauli mbiu yetu ya Tanzania ya viwanda imejifunza nini kutoka China

    KAULI MBIU YETU YA TANZANIA YA VIWANDA IMEJIFUNZA NINI KUTOKA CHINA. SEHEMU YA PILI Nitajaribu kuelezea namna china walipofika kwa Uchambuzi ulioegemea katika uchumi na kuifanya china ifanye maajabu makubwa katika Mapinduzi ya viwanda, Vilevile tutaona namna nchi nyingi zilivyoshindwa katika...
  8. Ayubu Massau

    Kauli mbiu yetu ya Tanzania ya viwanda imejifunza nini kutoka China

    wakuu natoa muendelezo wa andiko langu hili lenye lengo la kufikirishana , ni namna gani wenzetu walipiga hatua , nimeigawanya makala katika awamu nne ili kuwapa wadau kusoma kwa kina kwa mustakabali wa Taifa letu
  9. Ayubu Massau

    Kauli mbiu yetu ya Tanzania ya viwanda imejifunza nini kutoka China

    KAULI MBIU YETU YA TANZANIA YA VIWANDA IMEJIFUNZA NINI KUTOKA CHINA. SEHEMU YA KWANZA Ndugu , Watanzania na Wanabodi Huu Ni Mwaka Mpya Wa 2018, Ambao Ndio Umeanza Ukiwa Mbichi Kabisa , Lakini Mwaka Huu Unasogeza Mbele Na Kutuelekeza Tukiwa Tumebakiwa Na Miaka Takribani 7...
  10. Ayubu Massau

    Special thread: Kilimo cha umwagiliaji (Irrigation)

    Dogo hongera kwa kutumia elimu vizuri
  11. Ayubu Massau

    President Mobutu Sese Seko of Zaire

    Historia nzuri sana
  12. Ayubu Massau

    Magufuli kasema ukweli, anataka utumishi sio urais

    Jaribu kuandika kitu chenye uhakika na sio kupotosha Dr magufuli alisema nanukuu " Mimi nafikiri naweza kuwa sio mwanasiasa mzuri, maana sipendi siasa kwenye mambo yasiyo na siasa, nitawaletea baraza dogo la mawaziri litakalo kuwa na wachapakazi na ole wake katika watumishi wa serikali na...
  13. Ayubu Massau

    Paschal Mayalla: Matangazo ya kumnadi Magufuli Star TV yamelipiwa kiasi gani na CCM?

    Paschal Mayalla nilimfatilia kwenye moja ya mjadala wa asubuhi kuhusu watia nia ndani ya ccm, na kuhusu upendeleo wa waandishi wa habari kwa kupewa chochote kitu na watia nia wenye ukwasi wa kutosha, hakuonekana yuko kwa mh lowassa bali alionekana yuko kwenye misingi ya kazi yake , nafikiri...
  14. Ayubu Massau

    Tathimini: Siku 10 za kampeni ya Dr. John Magufuli

    Safii sana kiongozi bora hujipambanua kwa historia ya kazi zake za nyuma na kiongozi ovyo hujipambanua kwa usanii wake ndani ya jamii heko dr magufuli, watanzania tunaoipenda Tanzania tuko nyuma yako.
  15. Ayubu Massau

    GE2015 Mfumo Utakao Muendesha Lowassa Ni Hatari Kuliko Mfumo Utakaomuendesha Magufuli

    well said! Magufuli ni mgombea kupitia ccm ambae , atafanya watanzania wanachotaka na sio genge la wahujumu uchumi wanavyotaka, kwa sasa ccm imeamua kujibrand upya na kurudia misingi wakati upinzani wao wakiharibu hata kabla ya kushika dola
Back
Top Bottom