Recent content by Ayojnr

  1. Ayojnr

    Dr. Slaa ailipua Ikulu

    Keep it up Doctor
  2. Ayojnr

    Zitto: Nina sharti moja tu kurudi CHADEMA

    Chadema bila zitto inawezekana, hakuna alie mkubwa kuliko chama asiye fata matakwa ya Chama apite iv
  3. Ayojnr

    JK sio rais makini

    Dalali
  4. Ayojnr

    ITV kurudia taarifa ya bunge kuhusu escrow mara baada ya taarifa ya habari

    Daah walikata kupunguza idadi itakayosikia ukweli na uovu wao hata mitaa ya kwetu ila nilienda hotelini kufatilia taharifa
  5. Ayojnr

    CHADEMA yapita bila kupingwa katika vijiji 24 na vitongoji 52 wilaya ya Muheza

    Pia machame anakotoka mh mbowe chadema wanafanya vizuri sana nilikua hulo leo
  6. Ayojnr

    ITV kurudia taarifa ya bunge kuhusu escrow mara baada ya taarifa ya habari

    Nawapongeza itv kwa kujali watanzania ambao walikua makazini wakashindwa kufatilia taharifa zilizowasilishwa leo bungeni na mwenyekiti wa mashirika ya umma na makamu wake.kazi nzuri sana
  7. Ayojnr

    Nani kuwa Waziri Mkuu wa tatu kwenye awamu ya nne ya Kikwete?

    Anaweza pewa hata membe chezea magamba wewe?
  8. Ayojnr

    Kuajhirishwa kwa bunge mara tu ya uwasilishwaji wa Ripoti ya PAC kuna lengo gani?

    Ninacho kiona hapa wamewapa nafasi waji uzulu haraka ili iwe hawajawajibishwa na mtu yoyote.
  9. Ayojnr

    Mipango miovu ya CHADEMA kuivuruga ACT

    Iv wahasisi wa vyama wanapimwaga akili kwanza kabila ya chama chao kusajiliwa?
  10. Ayojnr

    Mipango miovu ya CHADEMA kuivuruga ACT

    Pambaneni na walio shika dola achanani na uchwara wenu
  11. Ayojnr

    Stopper Rhymaker Yokoi & Joslin hamjielewi

    Ushauri ungempa stopa na siyo unaweka jamii forum ina maana unataka kitu au na wewe ni mtoto wa wale wachafua watu kwa matakwa yao? Tushakujua.jamaa anapiga show bila kutajwa kwenye jingle
  12. Ayojnr

    Stopper Rhymaker Yokoi & Joslin hamjielewi

    Na huyo stopa mnamnunuliaga izo bangi? Huo mda mnao snitch si mkafanye harakati zenu zingne za kimaisha?
Back
Top Bottom