Mipango miovu ya CHADEMA kuivuruga ACT

Mipango miovu ya CHADEMA kuivuruga ACT

Haaaaa....hamlali kisa ACT...
kuwa CDM nisawa na kupiga mashine li kahaba bila ndom...

Eti chama cha democrasia....miku....yenu democrasia gana m2 ukihoji unaitwa msaliti,?

Eti maendeleo....maendeleo gani mmeleta tangu mme anza kula ruzuku?..hata darasa moja lakina kayumba hamjawahi kujenga...hata choo cha watoto wachekechea hamja wahi kujenga....nyie ni maendeleo gani mnayo maanisha?

Au maandamano na fujo plus kudandia hoja za watu....oneni mfano NCCR wana kesi na Kafulila ila bado wana mkubali na wana fanya kazi pamoja..
Nyie chama gan hata maamuzi ya mahakama ham yakubali?

siku mkishika nchi 70% ya wapinzani wenu watauliwa....ndo mana siwapendi nyie jamaa....thats y we need the part wchich will be mbadala wa CDM na CCM cz mmelewa sifa.

Waasisi na wanachama wa ACT wameita press conference na kuhoji kwa nini viongozi wa ACT yani Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba wanabadili nembo ya chama na kutengeneza katiba nyingine kienyeji bila kuhusisha waasisi na wanachama??
 
Last edited by a moderator:
Iv wahasisi wa vyama wanapimwaga akili kwanza kabila ya chama chao kusajiliwa?
 
Mhuu.... hawa jamaa wameona moto wa CDM si wa kawaida na hasa baada ya mwenyekiti wao kung'ang'ania CDM. Kwa hiyo wanajihami kabla ya hatari.
 
Haaaaa....hamlali kisa ACT...
kuwa CDM nisawa na kupiga mashine li kahaba bila ndom...

Eti chama cha democrasia....miku....yenu democrasia gana m2 ukihoji unaitwa msaliti,?

Eti maendeleo....maendeleo gani mmeleta tangu mme anza kula ruzuku?..hata darasa moja lakina kayumba hamjawahi kujenga...hata choo cha watoto wachekechea hamja wahi kujenga....nyie ni maendeleo gani mnayo maanisha?

Au maandamano na fujo plus kudandia hoja za watu....oneni mfano NCCR wana kesi na Kafulila ila bado wana mkubali na wana fanya kazi pamoja..
Nyie chama gan hata maamuzi ya mahakama ham yakubali?

siku mkishika nchi 70% ya wapinzani wenu watauliwa....ndo mana siwapendi nyie jamaa....thats y we need the part wchich will be mbadala wa CDM na CCM cz mmelewa sifa.

Sintoshangaa ikisemwa huu ni mchango wa yule Prof. aliyepewa onyo huko uvccm~ act
 
Chadema ina sifa gani? vurugu na maandamano?

Hivi maandamano ni kosa? Yangetambulika kisheria katika katiba za nchi zote? Ni bora wakati mwingine ukakaa kimya watu wakahisi wewe ni mjinga kuliko kuropoka ropoka ukathibitisha kwa watu kuwa wewe ni zezeta tu. Utatumiwa mpaka lini?
 
Chama cha watu Duni na hafifu ACT imekufa kabla haijaanza.
ACT kinaongeza idadi ya Vyama vya kula makombo ya ccm kama UDP, UPDP na mazuzu wengine
 
ACT ni chama cha ajabu mno

yan ni chama pinzani lakin kimeundwa kwa malengo la kupambana na vyama pinzan

hahahahhahaha
 
Kikao kilichofanyika wiki iliyopita kilichoongozwa na Dr. Slaa kimepanga kuhakikisha chama cha ACT hakipati ushindi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema kimepanga kuwarubuni wagombea wa ACT na kukihujumu kwa kukichafua kwenye vyombo vya habari kwa kutumia kurugenzi ya habari..
Kuwalisha maneno vijana wa ACT ili kuvuruga Chama.
Chadema acheni michezo michafu kuwahonga vijana wa ACT huko ni matumizi mabaya ya ruzuku.

Mara nyingi aliye na tabia ya wizi hufikiri na wenzake ni wezi. We projected to others what we feel and do. Kwa vile nyie hutumia mbinu ya kuwahonga watu kwa manufaa yenu na waliowapa mradi huo "ACT" wakuvuruga na kulemaza democrasia nchini, mnafikiri na wenzenu hutumia mbinu hizo.

Huku ni kuzeeka kifikra na kimtazamo kabla ya umri tazamiwa wa kuzeeka.
 
Back
Top Bottom