Ukitokea Mwenge shuka Mbuyuni vuka barabara upande wa pili kuna barabara inaitwa Ruhinde nyoosha nanyio mtaa wa kwanza unaitwa Manara pita mtaa wa pili yake kulia unaitwa Galu ingia nao ni kama mita 20 tu. Utaona kibao cha ubalozi na kibao cha Sunrays School. Ukitokea Posta pia utashukia Mbuyuni...
Huyo jamaa nimemshangaa utafikiri wanaenda kutuhubiria dini kitaifa. Sisi tunahitaji viongozi wa kutuongoza wenye maadili mema, busara na hekma wakifuata katiba na sheria za jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hayo mambo ya dini zao hazituhusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.