Tusipende kupuuza simu tunazopigiwa

Tusipende kupuuza simu tunazopigiwa

Unashangaa simu inaingia, unaipuuzia! Kumbe ni ya Uteuzi wa Ukuu wa Wilaya Hai kwenda kuchukua nafasi ya yule Jambazi Sugu!
Watu mnamambo duuu!!.jifunze kusahau mambo ya watu jali sana mambo yako.ukifatilia sana mambo ya watu yatakupotezea sana muda wako.ila ni ushauri tuu.
 
Watu mnamambo duuu!!.jifunze kusahau mambo ya watu jali sana mambo yako.ukifatilia sana mambo ya watu yatakupotezea sana muda wako.ila ni ushauri tuu.
Wala usiwe na wasiwasi juu ya hilo. Mimi si mwepesi wa kusahau maovu. Na ndiyo maana mpaka leo hii, bado nakumbuka magufuli alikuwa ni dikteta uchwara! Lakini pia Daudi Albert Bashite alifoji vyeti.
 
Nilikuwa nadaiwa m1 na jamaa mmoja .na nikawa najitahidi kumtunzia pesa yake ili ifike lakin matatizo yakawa hayaishi.nikawa napigiwa cm sipokei nikijua ni yeye.siku moja nikakutana na rafiki yangu akaniambia mbona hukuwa unapokea cm,nikamwambia ninadeni.akaniambia kazi niliyokuwa niipate niya m 9.iliniuma sana.tangu hapo sikutaka madeni tena maana yanakunyima Uhuru wa kupokea baadhi ya cm ukijua ni mdeni wako kumbe ni pesa hyo.
Dah! Pole tena mkuu japo naamini ulishapoa
 
Wewe utakuwa baba mkwe tu Mana umenipigia Leo mapema na sijapokea
Sasa kwanini unanifanyia hivyo mwanangu wakati pesa ya palizi uliniahidi ungenitumia leo? Pokea simu mwanangu tafadhali
 
Bossi..angalizo..simu za muhimu zote huwa zinapigwa mara tatu..utapigiwa mara ya kwanzA..mara ya pili na tatu..so Kama namba ni geni na hutaki usumbufu..subiri iite mara ya kwanzA..pili..ya tatu pokes..

Wengine ni viskulukwinyo..wasumbufu na washamba wa simu
Unakuta missed calls kama tano, ukipiga anaanza mara niambie, lete habari, mambo yanaendaje?
 
nafikiri kwa namba ngeni huwezi kumpigi tu mtu from no where, haijakaa vizuri tuma kwanza ujumbe "Naweza kukupigia?", Wengine wala sio madeni ila ni kuepuka usumbufu mtu anakupigia simu saa 7 usiku alafu anasema nilikuwa nakusalimia
how about an agent matter?
 
Nashauri mpigaji aache missed call 2,akiweza atume sms. Ni kero sana kama sipo kwenye nafasi ya kupokea simu halafu mtu anapiga zaidi ya mara 5
 
Kopa tala afu usilipe ndo utajua kwa nini usipokee simu. Wana vitisho balaa
 
nafikiri kwa namba ngeni huwezi kumpigi tu mtu from no where, haijakaa vizuri tuma kwanza ujumbe "Naweza kukupigia?", Wengine wala sio madeni ila ni kuepuka usumbufu mtu anakupigia simu saa 7 usiku alafu anasema nilikuwa nakusalimia
Ni kweli mkuu mwingine anakupigia kwa namba ngeni hata mara 10 unakuja kumpgia nae anakuuliza " kwani wewe nani, upon wapi?".
 
Back
Top Bottom