Recent content by Avittrust

  1. Avittrust

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    dah nmerush Uko ela nashanga haiji aise
  2. Avittrust

    Nacte hawanitaki naomben ushauri..

    Dah, una bahat mwanangu.
  3. Avittrust

    Nacte hawanitaki naomben ushauri..

    Nina division 2 masomo mengine yote yaliyobak nikimaanisha Histor,Kiswahil na Civics nina alama C. Nmetaja hyo matano kwa sabab Nacte wanayangalia hayo sana.
  4. Avittrust

    Nacte hawanitaki naomben ushauri..

    Asante kwa ushauri mzuri,nmeona wameweka third round ila ni kwa mafunzo ya ualimu tuu, vipi nikienda ualimu baadae naweza kuja kusoma medical lab. tena ??
  5. Avittrust

    Nacte hawanitaki naomben ushauri..

    Habarin zenu wanajamvi natumai mko poa kwa wale ambao hali Si nzuri basi Mungu awafungulie njia. Niende kwenye mada naomba kuuliza wakuu hiv Nacte wanaangalia vigezo gani haswa?? Nmeomba vyuo vya afya kwa govt nimekosa na ufaulu wang form 4 :katika PHYSICS-C,CHEM-C,BIOLOGY-B ENGLISH-C,MATH-D...
  6. Avittrust

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    kipa wa As roma tuliomfunga tano Kwenye UEFA amesajiliwa nmesahau jina lake this is liverpool!!!
  7. Avittrust

    Sijaenda JKT kwa mujibu wa sheria

    Huwez kuja kupata ajira katka sekta ya usalama
  8. Avittrust

    Wale waombaji wa Vyuo mwaka 2018/2019 karibuni hapa

    Mamb Vip wana Jf Naomba msaada kama kuna mtu ameshafanya application ya coz yoyote ya diploma chuo cha SUA tafadhali naomba anielekeze kwani me nmekwama inasumbua na nimesha lipia na hao wenyew namba zao hawapatikani tafadhal mweny kujua anisaidie..
  9. Avittrust

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    dera bila tako ni sawa na kanzu tuu" daladala z huk tanga
  10. Avittrust

    Mwalimu wa physics na mathematics pita hapa tugawane umasikini

    Me naweza kupiga mkuu nmemaliza six mwaka huu ila maswala ya mkopo yamezingua kidog nna uzoefj mkubw tuu sasa tatizo niko mbali niko tanga
  11. Avittrust

    Simu inahitajika haraka

    Me nataka tecno C8 kwa mweny anayo ...
  12. Avittrust

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Man u wapinzan wang msiniangushe leo nimebet kwenu ban ila see wa blues mapem tu 16 bora
Back
Top Bottom