Recent content by aventria

  1. A

    Mwakalebela leo katuma sms kwa kila mwana Iringa, alipataje namba zetu?

    Mlipokuwa mnatia sahihi kutumia huduma za mawasiliano za mitandao ya simu hamkusoma vingezo na masharti. Kwa taarifa yao data zako zinaweza kutumiwa kwa "marketing purposes" Amkeni watanzania.
  2. A

    Zikiwa zimebaki siku tano, Home Shopping Centre yasitishwa uwepo wake

    CCM oyeeeeeee CCM imeipenda wenyewe CCM iyaijuwa wenyewe CCM Mbele Kwa Mbele #mabadiliko #ccmout
  3. A

    Nimegundua wanawake huwa wana expire date

    Mkuu inaoneka umetendwa. Pole, wanawake wa mujini wamefanya mapenzi biashara. Nakuombea Mungu akupe mke sio mwanamke.
  4. A

    Zikiwa zimebaki siku tano, Home Shopping Centre yasitishwa uwepo wake

    Makufuli hana nguvu wala jeuri ya kuwakamata mafisadi na biashara zao, CCM inaendeshwa na mafisadi, na mafisadi ndio waliompendekeza kwenye urais. #mabadiliko #ccmout
  5. A

    Sababu ya Chadema kushitaki Mahakama Kuu!

    CCM ni ile ile, CCM Haitabadilika, Majina hewa ya wapigakura wenu, mtu anaitwa fhdhdjdjdhdjd fhdhdjdjdhdjd, mwengine Kazaliwa 1900, vituo vyenye majina ya 3180459552125800005112. Kweli ccm ni mafisadi na wezi. #sambazamabadiliko #ccmout
  6. A

    Lowassa avaa pete ya Freemason, hii sio ishara njema kwa Tanzania

    Mwenge ni nguvu za kienyeji, Mwenge umezidiwa nguvu na FREEMASON.
  7. A

    Lowassa avaa pete ya Freemason, hii sio ishara njema kwa Tanzania

    Free Mason wanamuunga maono Lowassa kuwa ndiye rais. Na ataxia kwa kura nyingi. Anayetaka kujiunga ani pm.
  8. A

    Lowassa avaa pete ya Freemason, hii sio ishara njema kwa Tanzania

    Ulifikiri kuwa nchi inatawaliwa na wajinga wajinga tu? Obama ni mason, Mason ndio hutawala dunia. Jibu unalo.
  9. A

    Wanaomwamini Lowassa wampe uongozi wa CHADEMA

    Kufuli umelipima?
  10. A

    Nataka kuanzisha Msikiti binafsi

    Madhehebu yapo kwa mfano kuna. Suni Shia Ismailia Bohora Konki Ahamadiya
  11. A

    Shirika la Nyumba la Taifa, hizo nyumba mnawajengea watanzania wote au baadhi?

    CCM ni ile ile, CCM umeipenda mwenyewe. CCM ina wenyewe. CCM Mbele Kwa Mbele. CHUKUA HATUA, Chagua Ukawa.
  12. A

    Wolper aiaibisha UKAWA kwa mafuriko feki

    Makufuli anakubalika kwenu
  13. A

    TANZIA: Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya ACT-Wazalendo afariki dunia

    Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
  14. A

    Huyu si Lowassa ambaye UKAWA tulimtaka

    CCM = TANU TANU= miaka 16 madarakani kutoka 1961, CCM = miaka 38 madarakani baada 1977, JUMLA = MIAKA 54. CCM wameuza nchi...... CCM ina wenyewe. Na wenyewe ni mafisadi. CCM upo madarakani kwa sababu ya upumbavu na ulofa wa watanzania, CCM ni ile ile, CCM Haitabadilika.
Back
Top Bottom