Mlipokuwa mnatia sahihi kutumia huduma za mawasiliano za mitandao ya simu hamkusoma vingezo na masharti.
Kwa taarifa yao data zako zinaweza kutumiwa kwa "marketing purposes"
Amkeni watanzania.
Makufuli hana nguvu wala jeuri ya kuwakamata mafisadi na biashara zao, CCM inaendeshwa na mafisadi, na mafisadi ndio waliompendekeza kwenye urais.
#mabadiliko
#ccmout
CCM ni ile ile, CCM Haitabadilika,
Majina hewa ya wapigakura wenu, mtu anaitwa fhdhdjdjdhdjd fhdhdjdjdhdjd, mwengine Kazaliwa 1900, vituo vyenye majina ya 3180459552125800005112.
Kweli ccm ni mafisadi na wezi.
#sambazamabadiliko
#ccmout
CCM = TANU
TANU= miaka 16 madarakani kutoka 1961,
CCM = miaka 38 madarakani baada 1977,
JUMLA = MIAKA 54.
CCM wameuza nchi......
CCM ina wenyewe. Na wenyewe ni mafisadi.
CCM upo madarakani kwa sababu ya upumbavu na ulofa wa watanzania,
CCM ni ile ile, CCM Haitabadilika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.