Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Go mkuu...jenga
Atapataje jini la kuliweka msikitini? Maana kila Msikiti unalo jini
Go mkuu...jenga
Atapataje jini la kuliweka msikitini? Maana kila Msikiti unalo jini
Atapataje jini la kuliweka msikitini? Maana kila Msikiti unalo jini
Mkuu Ngongo, navyojua Mimi mtu kutoa uwanja kwa ajili ya kujenga msikiti haimaanishi kuwa huo msikiti ni wa binafsi.
Kwa mfano mtu mwenyewe kanisa binafsi ibada yake inaendeshwa tofauti na makanisa mengine. Lakini c kwa misikiti. Ibada yake ni ile ile.
kanisa ni mali ya Mungu ..Mungu humchagua mtu ampendaye ambaye ni mwaminifu kwake na kumpa jukumu la kulichunga/ kuliongoza kanisa ili watu wapate uponyaji wa roho na mwili (ndio maana hata waislamu utawakuta kanisani jambo ambalo ni vigumu kwa wakristo kuwakuta msikitini.)
Mwenyezi Mungu amesema: "Na kwa hakika misikiti ni ya Mwenyezi Mungu, basi msimuabudu yeyote pamoja na Mwenyezi Mungu".
Qur'an, 72:18
Kama ilivyo kwa makanisa binafsi. Kina kakobe, Mwingira, Gwajima na Lusekelo. Haya makanisa ni Mali yao binafsi.
Ni utaratibu gani naweza kufuata nikaanzisha Msikiti binafsi?
hata makanisa yote ni mali ya wakristo ila utofauti unakuja kwenye misimamo.
je, dini ya kiislam haina madhehebu? kama inayo basi hata mtu binafsi anaweza kuanzisha la kwake kwa misingi anayoiona yeye itamfaa.
Mnapoteza muda kujibu mada yenye kebehi muanzisha mada si muislam ni mfuasi tu wa UKAWA anajua fika HAKUNA taratibu za kufanya msikiti kuwa ni wamtu binafsi lengo kubwa ni kuudhalilisha uislam basi.... i can't believe almost two pages comment for this nonesense.
Kama ilivyo kwa makanisa binafsi. Kina kakobe, Mwingira, Gwajima na Lusekelo. Haya makanisa ni Mali yao binafsi.
Ni utaratibu gani naweza kufuata nikaanzisha Msikiti binafsi?
Madhehebu yapo kwa mfano kuna.
Suni
Shia
Ismailia
Bohora
Konki
Ahamadiya
"Na hakika misikiti ni ya Mwenyezi Mungu..... (Qur'an 72:18)"