Recent content by AUGUSTINO CHIWINGA

  1. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Abdul Hafidh Ameir ni Gogo la Udi

    Katika misitu mikubwa, si kila mti huwa na thamani sawa. Kuna miti inayojulikana kwa ukubwa wake, lakini kuna mingine inayoheshimika kwa ubora wake. Miongoni mwa hiyo ni gogo la udi—mti wenye harufu ya kipekee, thamani kubwa na manufaa mengi. Thamani yake haitokani na kelele, bali na ubora wake...
  2. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Achanaye jamvi atalikumbuka wakati wa dhiki:: Tafakuri kuhusu Maridhiano na Amani ya Kisiasa Tanzania

    Utangulizi Methali ya Kiswahili isemayo “Achanaye jamvi atalikumbuka wakati wa dhiki” hutukumbusha umuhimu wa kushikamana, kusikilizana, na kutafuta suluhu kwa njia ya maelewano. Katika maisha ya kijamii na kisiasa, methali hii ina maana kubwa kwa sababu jamii inapokabiliwa na changamoto, nguvu...
  3. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania SoC03 Kitanzi chakula lishe shuleni

    Inaeleweka kwamba mwanafunzi anayepata chakula lishe shuleni humsaidia kuacha utoro, kuwa na afya njema ya akili na mwili, mimba za utotoni na ukatili mwingineo wa kijinsia, na usikivu mzuri darasani. Takwimu zilizopo juu ya madhara ya kukosekana kwa chakula lishe zinatisha na zinatoa ishara...
  4. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Pongezi za watendaji wa kata Tanzania kwa Rais Samia

    Tunakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi iendelee! Awali ya yote tunapenda kuchukua fursa hii kukutakia heri na fanaka katika mwaka mpya wa 2023. Pia tunakupongeza kwa juhudi zako mbalimbali za kuliletea maendeleo Taifa. Mh. Rais sisi watumishi wako katika kada ya...
  5. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Wanaomsakama Rais waache mara moja

    Limeibuka kundi la wakosoaji na wasakamaji wasio na nyuzi za mashiko za hoja wanaobeza na kubagaza kila tendo jema ambalo Mh.Rais analivujia jasho kwa ajili ya Watanzania. Wanafanya upotoshaji wa dhahiri kubwa ikiwa ni mbio za Urais 2025, kutaka kuonesha kama Rais anakosea na amesababisha ugumu...
  6. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Binafsi nimekua mfuatiliaji mkubwa wa utendaji kazi wa serikali hii y awamu ya sita kwenye sekta na miradi mbalimbali mtambuka hakika ni vema na haki kusema kwamba kasi ya Mh. Samia kwenye maendeleo inatisha. Kama kutakua na kata ambayo tangu Rais Samia ashike hatamu ya uongozi haijapata mradi...
  7. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Peformance appraisal, Rais Samia amepata 100

    Kipimo cha uwezo wa sehemu ya kazi hupimwa kwa kitu kinachoitwa Perfomance appraisal. Tangu ashike madaraka Rais wa Tanzania wa awamu ya sita ni wazi amescore credit zote 100. Mosi kuweza kumaintain uendelezwaji wa miradi mikubwa ya kimkakati kama vile SGR na Bwawa la Nyerere huku makusanyo ya...
  8. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana nia njema, tumuunge mkono tumtie nguvu mama yetu

    Kasi ya ustawi wa maendeleo na ujenzi wa Taifa imara imeendelea kuonekana katika uongozi huu madhubuti wa Serikali ya awamu ya Sita ya Mama yetu Mh. Rais Samia Suluhu. Ujenzi wa miundombinu katika sekta za barabara,maji, nishati elimu na afya imeendelea kupamba moto kote nchini. Kazi hiyo ni...
  9. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020

    Kwa mujibu wa ilani yao chama cha mzee wa Ubelgiji ukurasa wa 84 ; wanasema wataweka BOND mbuga za wanyama, bandari, viwanja vya ndege bila kusahau ARDHI. Kuna Changamoto kubwa ya uthaminishaji wa bidhaa za madini na maliasili nyingine.Nawaza sanaaa twiga zikianza Kupanda ndege tenaaa. Kwenye...
  10. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Hakuna harusi inayokosa wasindikizaji

    HAKUNA HARUSI INAYOKOSA WASINDIKIZAJI NA WATANI Ni kawaida Harusi yoyote inapofungwa lazima kuwe na wasindikizaji na watani wanaohanikiza na kuchangamsha sherehe nzima. Hii ndio ni desturi nzuri ya Watanzania. Bwana Harusi aoae ni mmoja tu nae anajlikana, hawa wengine ni wasindikizaji na...
  11. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Tunaiona Milioni 50 kwa kila kijiji/mtaa?

    TUNAIONA MILIONI 50 KWA KILA KIJIJI/MTAA? Na; Augustino Chiwinga (Sauti ya Korosho) Mzazi anaweza fikiria kuwapa pesa watoto wake kila mmoja akaamue anachofanya, lakini mzazi anaweza pia akabadili uamuzi na kufanya kitu au jambo jingine lenye tija kwa watoto pengine hata na wajukuu. Kata zina...
  12. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Nchi iko site, Serikali ya awamu ya tano imefanya kazi kubwa sana

    Na; AUGUSTINO CHIWINGA Nawiwa kusema hivyo kutokana na jinsi Serikali ya Awamu ya tano inavyoendelea kuisuka upya nchi kupitia miradi mbalimbali yenye tija inavyoendelea kutekelezwa kote nchini. Serikali ya Awamu ya Tano kwa miaka mitano imevunja rekodi kwa kuidhinisha kiasi cha Tsh tril...
  13. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Wanaojenga hoja kuhusu Matumizi ya ruzuku kwenye vyama vya siasa wasikilizwe, ni fedha za walipa kodi lazima wajue zinavyotumika

    Nimekua nafuatilia mijadala mbalimbali inayohusu matumizi ya fedha za ruzuku kwenye vyama vya siasa. Wapo wanaosema kwamba fedha hizo ni jukumu la chama husika kupanga bajeti ya matumizi na haipaswa mtu mwingine kuhoji wala kujua matumizi yake, na lipo kundi la pili linalosema kwamba...
  14. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Fatuma Karume jifunze kuwa na ustaarabu, heshima na adabu uanaharakati hauko hivyo

    Tunakushauri ujifunze au ujaribu kuwa na heshima, ustaarabu na kuwa na Adabu kwa wazazi na viongozi wako wa nchi ambao wewe binafsi na familia yako mumenufaika mno na matunda ya CCM, usipandishe ukichaa, wehu na uchizi usio kuwa nao. Kwa kuwa katika mambo 10 uliyojaribu kupotosha, kumchafua na...
  15. AUGUSTINO CHIWINGA

    JamiiForums Tanzania Mantiki ya kaulimbiu MATAGA katika serikali ya awamu ya tano

    Kwa muda kidogo nimeona watu wakishindwa kuelewa kwa nini Serikali ya Awamu ya Tano imekua "branded" na kauli ya Make Tanzania Great Again au MATAGA Tujielekeze kwenye kuimulika miradi inayotekelezwa na Serikali hii. Kuna aina mbili za miradi inayofanywa SERIKALI ya Awamu ya 5 katika...
Back
Top Bottom