Hapo nyuma naona kama wasaidizi wake in Black uniform japo wanaona huku mali inapotea (aliyejitwika ndoo kichwani) lakini hawachukui hatua yoyote coz top manyota anajikuta ndyo kila kitu .........!
Bora walimkavu kuliko walimwengu
Asante kwa somo zuri na poleni sana
Always remember as long as you attend the class to get any kind of knowledge evn in our scul tayari wewe ni fursa by default .
Not Good because of the following factors:
Upigaji punyeto hufatana sambamba na utazamaji wa picha za ngono ili kusuppport stimulation ya hisia za mapenzi
Na hii husababisha mtu kuwa addicted(out of your self control) which is totally not Good
Unforrunately most of those addicted in this...
Kwanza kabla ya yote
Inategemeana na utafiti umefanyika mikoa gani........!
Majimbo yapi zaidi.......!
Na kwa watu wa aina gani either watumishi wa serikali au waliojiajiri wenyewe.........!
Pia jamii ya watu gani mfano :wanafunzi , vijana ,wazee ,watoto,
Baada ya hapo sasa tunaweza tuka...
Mara nyingi sana nimrwasikia viongozi wetu wakisema Serikali haina dini
Na hata shule zeru za serikali utasikia Serikali haina dini
Sijajua tofauti kati ya "haina dini " na "haiamini katika dini "
Hatuna shida na Bei
Ila jina ndyo tatizo mfano ............Phantom Z is Good
Nimeshindwa hapo hata kutaja hilo jina ila wanapozingua ni kurelease Brand zao frequently hvyo hata ukinnunua new brand after one year utakuwa umepitwa mbali sana
Kwa nyie hamna shida kuchangia
Ila kiukweli kwa watu wa Tecno nadhani hii mada wangebakia wasomaji comment inatosha
With all due their respect Tecno user
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.