Recent content by Audax

  1. A

    Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

    Kwa kutegemea misaada kwa maendeleo yeti ni utumwa. Tukumbuke ya kuwa lazima tufanye kazi kwa bidii ili tujemge nchi yetu wenyewe.
  2. A

    Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

    Kwa kutegemea misaada kwa maendeleo yeti ni utumea. Tukumbuke ya kuwa lazima tufanye kazi kwa bidii ili tujemge nchi yetu wenyewe.
  3. A

    Magufuli aachwe na tumuunge mkono Watanzania

    Watanzania tujumuike kwa pamoja.biblia inasema tutii mamlaka.
  4. A

    Baada ya madudu ya ajira za uhamiaji sasa imekuja kwenye scholarship za oil na gesi

    kuweni wawazi hapa, walitaka watu wanaomit criteria za vyuo husika. kama ulisubmit ina maana hukuchaguliwa. Kwa nini watu wanapenda favour hata kama hawana vigezo? hii imejionyesha kwenye nafasi nyingi za uingozi hapa tanzania. Unakuta mtu anasema wanawake wanaonewa, inaweza kuwa kweli lakini...
  5. A

    Utajiri wa damu

    tunaisubiri kwa hamu
  6. A

    HILI NI TUNDA GANI ALILO BEBA HUYU MAMA MTOTo?

    siamini kama hakutambua kuwa ni embe
  7. A

    Rwanda, Uganda zajitoa Bandari ya Dar

    Kinachotakiwa ni usimamizi mzuri wa ukusanyaji wa kodi nchini, na kuwa committed kulipa kodi. Nchi nyingi hazina bahari wala maziwa ila watu wake wanaishi vyema na wan maendeleo kuliko sisi. La muhimu ni kuboresha huduma zetu, kwa sababu anayefanya biashara cyo serikali bali ni watu wao amabao...
  8. A

    Usithubutu kuoa mwanamke wa hivi

    Hapa hamana logic, msingi wa ndoa ni imani, kwa maana uwe mkristo au muislamu aliye hai. Kumbuka kuwa udini ulishakatazwa na viongozi wetu na c swala la kuinvolve linapokuja suala la mahusiano. Watu wanadiscus uchawi based on what factor? maana hata mlokole akisema jambo kwa hasira likatoke basi...
  9. A

    Faida za nyanya chungu

    hiyo c sawa na dawa ya kuongeza nguvu za kiume?
  10. A

    Faida za nyanya chungu

    Huo ni uzembe kazini
  11. A

    Kikao cha siri cha Kaguta, Kagame na Kenyatta (tripple K) chaamua mambo mazito...

    Ni mwanzo mzuri. Mkutano waliokuwa nao c wa EAC ni ICC where Tz is not a member
  12. A

    Mwanaume Akikuhudumia/Kukuweka Mjin Cha Moto Utakiona! Hela Yake Utaila Lakini Chamtemakuni Utakiona

    good advise, nothing goes for free nowadays.you have to pay.
  13. A

    Nilitaka kumuua mke na mtoto wa 'my best friend' kwa risasi!

    ni nsuri saana ila vipengele ndo vimekuwa vingi sana, sasa ulikuwaje ukamfuata tena huyo binti? we noma baba
  14. A

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    mabadiliko ni muhimu yawepo ila c kwa staili hii!!
Back
Top Bottom