Recent content by atmkalz

  1. atmkalz

    Naombeni ushauri kuhusu binti huyu

    Swali langu kwako?.. upo nae kwenye mahusiano kwajili ya nini? Lengo lako ni nini?...2016 - 2022 na bado unasubiri mbasusu?
  2. atmkalz

    Uhamiaji tusaidieni kwanini passport haitumiki kama National Identification card katika baadhi ya ofisi nchini

    My take on this: Whether government or private sector, they don't have the means or equipment to verify authenticity of the said passport, apart from Immigration officers at airports and others places of entry in the country. Immediate transformation is needed! What they need to ask...
  3. atmkalz

    Mke wangu anataka kuandika jina lake nyumba niliyoijenga

    Heading ya hii topic inaonyesha sababu anafanya hivyo..embu read between the lines! Nyumba niliyojenga... Unajenga nyumba yako mwenyewe ukae mwenyewe? Then mkeo anajenga yake akae na watoto. Circumstances ya maisha au kazi kukosa mke wako sio sababu to make justification. Jenga pamoja weka jina...
  4. atmkalz

    Bia za kununuliwa kuagiza Savanna, Desperados na Redbull huo ni ushamba

    Ukialika mtu "outing" iwe mwanamke au mwanaume, then naona ni sawa kugharamia kila atakachotumia. Iwe vinwaji au chakula. Gharama au bei ya hiyo bidhaa inategemea mmeenda wapi. Lakini kama mmekubaliana kwenda pamoja for "kampani", hapo lazima kila mmoja apambane na mfuko wake. Nilichogungua kuna...
  5. atmkalz

    Waziri Mbarawa: Tutajenga barabara ya njia 4, Dar-Moro, ili upite lazima ulipie

    1km of tarmacadam(tarmac) = Tzs800mil - Tzs 1Bil..215km mpaka Moro mkandarasi awe na kiasi gani kumaliza hii project? Cjui nani atapewa hii tender/contract!
  6. atmkalz

    Kwahili la Mabasi kusafiri Usiku, nampongeza Mbunge Tulia Ackson

    Usalama wa barabarani iwepo mda wote, 24 hours. Kuna madereva wengine kutumia hii kama nafasi ya kumaliza dashboard ya basi. (120km/h). Matokeo: Overspeeding. Ajali Drinking & Driving. Trafgic wawepo mda wote na huduma zingenevyo ziwepo huko njiani. Mfano, sehemu za chakula, usalama wa abiria na...
  7. atmkalz

    Mke wangu kapata kazi Mkoani!

    Allow her to persue her dreams in life just like you are doing now. She is your wife, nothing will change that matrimonial bond. Personality and character will define what kind of wife she is...let her work!.
  8. atmkalz

    Kwanini naunga mkono tozo

    Thanks for the clarification. Spot on!
  9. atmkalz

    Mkakati: Vikundi vya kupigie debe Tozo vyaandaliwa. Wamo wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Mamluki wanaolipwa

    Kwa mwendo huu..itapendeza zaidi tukilipwa mshahara ni cash...physical money..hizi taasisi nyingine wapambane na hali zao.... Cha ajabu, unafika ofisini kwao, jengo imechakaa balaa...viti na meza inabaki kuwa story au tamthilia kwenye TV
  10. atmkalz

    Kwanini naunga mkono tozo

    Naimba kujua au kupata elimu kidogo hapa...Msaada kutoka nje na mkopo unatofauti gani..? Isn't the source the same "person"...?
  11. atmkalz

    Makato ya Benki hayasababishi Double taxation kwenye mshahara

    Wewe utakubali kulipa au kutoa hiyo 'allowable deduction' ya benki?
  12. atmkalz

    Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

    Ngoja na mimi niandike kwenye diary leo
  13. atmkalz

    Mabadiliko ya mwonekano JamiiForums - Juni 2022

    Is it possible to have different italic options from this new current one?
  14. atmkalz

    Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 2)

    The same Rostam kwa sasa ndo mmiliki wa millicom AKA TIGO COMMUNICATIONS pamoja na hisa za Zantel Tanzania.....
Back
Top Bottom