Naombeni ushauri kuhusu binti huyu

Naombeni ushauri kuhusu binti huyu

Kinachosikitisha huyu demu kuna njemba zinamsugua watakavyo ila mwanetu anasubirishwa mwaka wa 6 huu unaenda wa 7
 
Hii case hata mimi nnayo ila ni pisi ya kibena ya njombe. Yenyewe sio kuoana ni haitaki 2 na kina mahesabu makali ooh saivi mchana mara muda umeenda nikalale, sasa na mimi navunga fala kumbe nakula pembeni, sihudumii ng'o mpaka mbususu ijilete nichakate na akikaa kizembe napotea kwenye ile ahadi ya kupendaga hadi kufa na kutoachana. Sio mzembe bhana
 
Wakuu habarini,

Awali ya yote mimi siyo mwandishi mzuri sana wa mada, ila angalau nitajitahidi hivyo hivyo mnielewe.

Ipo hivi, mimi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kabila ni Mchaga. Kinachonichanganya huyu binti niko naye kwenye mahusiano tangu 2016 ila mpaka leo hajawahi kunipa mbususu!

Kila nikimwomba anadai nimuoe kwanza, sasa si kwamba hatujawahi kukutana ila tulishakutana mara nying sana japo sijawahi kufanyanaye mapenzi. Japo pia ananilalamikia sana simhudumii kama mke wake, anataka niwe natoa matumizi kama nampenda na ukiangalia kunipa mbususu anakuwa mbishi sana. Ni binti mkubwa tu miaka yake 27.

Sasa nipeni ushauri wadau, vipi hapa nisubri mpaka ndoa na niendelee kuhudumia?
Swali langu kwako?.. upo nae kwenye mahusiano kwajili ya nini? Lengo lako ni nini?...2016 - 2022 na bado unasubiri mbasusu?
 
Subili ni mpatie muongozo Mkuu
Binti 15-22
Dada 22-25
Mdada 26-30
Mama 30-35
Mmama 35-44
Bibi 45-55
Mbibi 55+
Hii kitu ni uongo aisee juba Hawa watu 18 mpaka 22 wengine ni wamaza tayari so sio mabinti wadada ni wale wasioolewa hata akiwa 50+ ni mdada hadi azae ndio mama
 
Wakuu habarini,

Awali ya yote mimi siyo mwandishi mzuri sana wa mada, ila angalau nitajitahidi hivyo hivyo mnielewe.

Ipo hivi, mimi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kabila ni Mchaga. Kinachonichanganya huyu binti niko naye kwenye mahusiano tangu 2016 ila mpaka leo hajawahi kunipa mbususu!

Kila nikimwomba anadai nimuoe kwanza, sasa si kwamba hatujawahi kukutana ila tulishakutana mara nying sana japo sijawahi kufanyanaye mapenzi. Japo pia ananilalamikia sana simhudumii kama mke wake, anataka niwe natoa matumizi kama nampenda na ukiangalia kunipa mbususu anakuwa mbishi sana. Ni binti mkubwa tu miaka yake 27.

Sasa nipeni ushauri wadau, vipi hapa nisubri mpaka ndoa na niendelee kuhudumia?
Wee, fala sana, Mkuu
 
Miaka 6 ni mwanaume gan wa kusubiri muda wote huo?? no mbususu na huduma anatoa. Labda mgonjwa na ana hela hana pa kuzipeleka hivi hivi nakataa.
Wanaume wa sasa hivi tulivyo wabahiri tukishapigwa vizinga viwili au vitatu tu tunataka na mbususu 😅
 
Wakuu habarini,

Awali ya yote mimi siyo mwandishi mzuri sana wa mada, ila angalau nitajitahidi hivyo hivyo mnielewe.

Ipo hivi, mimi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kabila ni Mchaga. Kinachonichanganya huyu binti niko naye kwenye mahusiano tangu 2016 ila mpaka leo hajawahi kunipa mbususu!

Kila nikimwomba anadai nimuoe kwanza, sasa si kwamba hatujawahi kukutana ila tulishakutana mara nying sana japo sijawahi kufanyanaye mapenzi. Japo pia ananilalamikia sana simhudumii kama mke wake, anataka niwe natoa matumizi kama nampenda na ukiangalia kunipa mbususu anakuwa mbishi sana. Ni binti mkubwa tu miaka yake 27.

Sasa nipeni ushauri wadau, vipi hapa nisubri mpaka ndoa na niendelee kuhudumia?
Uliona wapi watu wanajiita wapenzi alafu hawafanyi mapenzi yenyewe..🤣
 
Wakuu habarini,

Awali ya yote mimi siyo mwandishi mzuri sana wa mada, ila angalau nitajitahidi hivyo hivyo mnielewe.

Ipo hivi, mimi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kabila ni Mchaga. Kinachonichanganya huyu binti niko naye kwenye mahusiano tangu 2016 ila mpaka leo hajawahi kunipa mbususu!

Kila nikimwomba anadai nimuoe kwanza, sasa si kwamba hatujawahi kukutana ila tulishakutana mara nying sana japo sijawahi kufanyanaye mapenzi. Japo pia ananilalamikia sana simhudumii kama mke wake, anataka niwe natoa matumizi kama nampenda na ukiangalia kunipa mbususu anakuwa mbishi sana. Ni binti mkubwa tu miaka yake 27.

Sasa nipeni ushauri wadau, vipi hapa nisubri mpaka ndoa na niendelee kuhudumia?
Huyo mwizi.
 
Pole sana mkuu... mkuu huyu binti kuna muda ananiambia kwamba siku ikitokea tukafanya mapenzi inaweza ikamuathiri akawa analiwa endapo mm nikienda masomoni coz ninampango wa kwenda kufanya masters mwakan mwanzoni af ni nje ya nchi.
Sasa mzeya una opportunity ya kwenda kula mbususu chuo bado unawaza mbususu ya huyo mwanamke...acha uboya wewe
 
Back
Top Bottom