Hiyo story uhalisia wake nimesimuliwa na mtu aliyekuwepo eneo la tukio. Ilikuwa hivi, wakati Magufuli anasubiriwa, askari walifunga njia, hivyo mabasi na magari yote kwa ujumla yakazuiwa ili kupisha msafara, likiwepo basi la Nganga. Wakati wanasubiria msafara uje, abiria wakashuka chini. Baadaye...