Kaka, hmjui vizuri Longoi, wkt wa serikali za mitaa ni hasan pekee ndiye aliyewasaidia wagombea wa cdm kampeni na kutengeneza mihuri vijji vingi kama vile Ndulungu,nsonga,mgungia,misuna,mbelekese, urugu,ujungu,kisonga, msai,tyeme,shelui,ulemo,kyengege etc amefika wakati wa kampeni na alikuwa...