Kwenye hao Single Mom chagua anayejitambua na unayeamini ukipigwa na jua ukienda hapo utaenda pata kivuli na kimiminika Cha baridi na uhakika wa usalama mpangilie utulie ila usiweke imani yako kwake mean hisia kurukaruka sio poa Mzee unaweza kutua kwenye kipande Cha chupa au miiba
Yaani hili swala limekithiri na linakera sijui uwezo wa wasanii umekuwa wa kawaida kiasi kwamba kushindwa kuibua vitu vipya na kuvifanya viwe marketable mbali na ngono au sokoni ngono inauzika kirahisi na faida ni kubwa.
Wangejikita na kutoa masomo ili watu wajue ukweli waamini sio namna hii walioichagua,hii namna ni ujenzi wa chuki
Naamini haya ni moja ya mambo yamefanya huyu jamaa wala pilipili wamtafute.
Kuna kipindi nilifanya muamala mrefu kwa njia hyo hela ilkwama alafu inahitajika kwa uharaka niliumia ikabidi nitumbukie kausha bila kupenda ifike muda haya makampuni kama huduma Fulani hawaiwezi waikaushie wanatia hasara kuna muda
Kuna hatua itafika tutaanza kuwambana makofi hii ni dharau kuhamisha watu pasi na ridhaa yao kuna wengine wanahamishwa kule Shinyanga tena wamepewa siku 14 ni kama mambwa (thamanilessness) alafu kipindi cha uchaguzi watataka kura
Hawa wanaopindua serikali zao wangekuwa wajanja na wazelendo kwa nchi na bara la Afrika kama wangepindua nchi na kuitawala wao kama wao kuliko kuipindua nchi alafu unaegemea upande Fulani yaan sasa na mtu anayehama kiti cha nyuma kwenye gari na kukaa cha mbele kwenye gari ileile lengo awahi kufika
Kanisa na Wadventista Wasabato wanajua maandiko na wanajali sana kondoo kama aliwahi kukosea huko nyuma wakamuonya mara kadhaa watamfuta ushirika lakini kama ndio kaanza naamini watamkalisha chini na kumpa maneno ya kumsaidia kurudi kwenye mstari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.