Recent content by asante sana

  1. asante sana

    Mtu mzima Kutembea ukiwa umevaa au kuning'iniza headphone mitaani Ni ujuha na ushamba

    Mie naona si ushamba maana kila mtu ana namna yake ya kurelax na muda wake.
  2. asante sana

    Hospital nzuri (PRIVATE) ya kujifungulia mjini Moshi

    Serikalini siku hizi ndo Kuna ma specialist wanapatikana kwa wakati, na mda wote. Private utateseka sana Sent using Jamii Forums mobile app
  3. asante sana

    Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

    Watuletee muziki sisi tuburudike. Mwenye roho ya chuki tangu lini aoneshe upendooo. Fanya kazi nzuri watu wakuone.
  4. asante sana

    Swali langu kwenu waendesha private car kwenda Mikoani

    Soma kwanza Raman ya mahali unakoenda utajua mwelekeo na mini mikuu ambayo lazima uipitie.
  5. asante sana

    Old Bongo Flava

    Nzuri sana japo haziimbi
  6. asante sana

    ZIJUE GHARAMA ZA KUSOMESHA MTOTO WAKO ELIMU BORA: USISOME KAMA HUNA PESA

    Mbona wote tunapumua kiwango sawa cha hewa.
  7. asante sana

    ZIJUE GHARAMA ZA KUSOMESHA MTOTO WAKO ELIMU BORA: USISOME KAMA HUNA PESA

    Mbona wote tunapumua kiwango saw a cha hewa.
  8. asante sana

    Uliza swali lolote la umeme wa majumbani

    Asante sana mhandisi
  9. asante sana

    mnaofanya kazi mbali na wake zenu kujeni mumshauri huyu ndugu

    Anaweza kuendelea hapo hapo koz mshahara ni mzuri Ila inatakiwa ameintain status yake ya kuwa Mwl mzuri na Tabia nzuri maana private wana matatizo yao ya kusitisha ajira kama unalega lega. Pili anaweza kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii ili awe anapeleka kwacash. Lakini pia kama anamkataba...
  10. asante sana

    Kwa waliokojoa kitandani tu!!

    Aseee achakbisa
  11. asante sana

    Alisema hataki mapenzi tena na mimi lakini bado ananitafua tafuta

    Labda pengine kosa lipo na wewe, pengine huwa humjali akishika mimba, au una multiple dates mwenzio anahofia utamuacha. Lakini pia tumia kinga basi. Na use na msimamo kama anasema bye Iwe hivo kweli. Umekuwa mwepesi mno kukubali
  12. asante sana

    Tahadhari yatolewa dhidi ya virusi vinavyoathiri samaki aina ya sato au Tilapia

    Mutant virus can have impacts on human's health
  13. asante sana

    Msaada tutani: Nina tatizo la maziwa kutotoka

    Tafuta mbegu za maboga has a zile zenye ganda jeusi uzikaange na kusaga alafu weka kwa uji au viazi mviringo na supu. Ukinywa hiyo Maziwa yatatoka mengi na mazito. Ila mtoto kama hanyonyi yanaumaga na kulowa sana
  14. asante sana

    Hii ya kuzika ndani ya nyumba ina maana gani?

    Labda muda bado wa kuitwa/kuwa Chief
Back
Top Bottom