ZIJUE GHARAMA ZA KUSOMESHA MTOTO WAKO ELIMU BORA: USISOME KAMA HUNA PESA

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
NB: Kama hela yako ya kuungaunga usisome, Mbuzi ula kwa urefu wa kamba yake

elimu nzuri kwa mtoto ni uwekezaji bora na wa kudumu kwenye maisha yake, Kwa anayesomesha mtoto hizi shule nampongeza sana tuu. if you can do it! Maana anajua nini maana ya urithi kwa vizazi vijavyo. Wewe kama mzazi/mlezi utafanya jukumu lako la kulea, Lakini huwezi kuishi maisha ya mtoto wako. Nothing is expensive when you are trying to secure the future of your child! Nothing.

elimu yet hii ya Tz kwa mtaala wa nectar haiko relevant na dunia ya leo. Ndo maana wengi tulioishia huku kwa hii elimu our struggle in the modern world is real! Hii elimu ya Tanzania kwa sasa inakuandaa kuwa mwanachama mtiifu wa kutegemea kuajiriwa zaidi kuliko kujiajiri, mtu anayeridhika na hali duni ya maisha, anayeona umasikini ni mipango ya Mungu, muoga ku-challenge status quo, muoga wa kuhoji, mbinafsi na mtu anayeamini kwamba kwa sababu hana basi wote tukose! Anayeamini kwamba kusomesha mtoto IST ni kujidai na kuharibu hela

watoto wa IST wakimaliza hua wanaenda vyuo vya duniani huko i.e. MIT, Stanford University, Harvard, Oxford etc

INTERNATIONAL SCHOOL OF TANGANYIKA

Childhood year 1
33,820,000​
Childhood year 2
33,820,000​
Kindergarten
47,220,000​
grade 1
47,220,000​
grade 2
47,220,000​
grade 3
47,220,000​
grade 4
47,220,000​
grade 5
47,220,000​
grade 6
54,710,000​
grade 7
54,710,000​
grade 8
54,710,000​
grade 9
58,110,000​
grade 10
58,110,000​
grade 11
69,920,000​
grade 12
69,920,000​
JUMLA
771,150,000​

INTERNATIONAL SCHOOL OF MOSHI

DAY​
BOARDING​
Early Childhood
16,200,000​
16,200,000​
P1
26,300,000​
26,300,000​
P2
26,300,000​
39,800,000​
P3
26,300,000​
39,800,000​
P4
26,300,000​
39,800,000​
P5
26,300,000​
39,800,000​
P6
26,300,000​
39,800,000​
M1
35,300,000​
49,900,000​
M2
35,300,000​
49,900,000​
M3
35,300,000​
49,900,000​
M4
35,300,000​
49,900,000​
M5
35,300,000​
49,900,000​
D1
39,900,000​
59,500,000​
D2
39,900,000​
59,500,000​
JUMLA
430,300,000​
610,000,000​

BRAE BURN INTERNATIONAL SCHOOL

DAY​
BOARDING​
Nursery
9,827,175​
9,827,175​
Prep
15,003,515​
15,003,515​
Year 1
22,872,200​
22,872,200​
Year 2
22,872,200​
22,872,200​
Year 3
24,895,510​
43,320,595​
Year 4
24,895,510​
43,320,595​
Year 5
24,895,510​
43,320,595​
Year 6
24,895,510​
43,320,595​
Year 7
29,993,140​
48,418,225​
Year 8
29,993,140​
48,418,225​
Year 9
29,993,140​
48,418,225​
Year 10
33,616,115​
52,376,875​
Year 11
33,616,115​
52,376,875​
Year 12
34,931,035​
53,691,795​
Year 13
34,931,035​
53,691,795​
JUMLA
397,230,850​
601,249,485​
 
INTERNATIONAL SCHOOL OF TANGANYIKA

Childhood year 1
33,820,000​
Childhood year 2
33,820,000​
Kindergarten
47,220,000​
grade 1
47,220,000​
grade 2
47,220,000​
grade 3
47,220,000​
grade 4
47,220,000​
grade 5
47,220,000​
grade 6
54,710,000​
grade 7
54,710,000​
grade 8
54,710,000​
grade 9
58,110,000​
grade 10
58,110,000​
grade 11
69,920,000​
grade 12
69,920,000​
771,150,000​

INTERNATIONAL SCHOOL OF MPSHI

DAY BOARDING
Early Childhood
16,200,000​
16,200,000​
P1
26,300,000​
26,300,000​
P2
26,300,000​
39,800,000​
P3
26,300,000​
39,800,000​
P4
26,300,000​
39,800,000​
P5
26,300,000​
39,800,000​
P6
26,300,000​
39,800,000​
M1
35,300,000​
49,900,000​
M2
35,300,000​
49,900,000​
M3
35,300,000​
49,900,000​
M4
35,300,000​
49,900,000​
M5
35,300,000​
49,900,000​
D1
39,900,000​
59,500,000​
D2
39,900,000​
59,500,000​
430,300,000​
610,000,000​

BRAEBURN INTERNATIONAL SCHOOL

DAYB OARDING
Nursery
9827175​
9827175​
Prep
15003515​
15003515​
Year 1
22872200​
22872200​
Year 2
22872200​
22872200​
Year 3
24895510​
43320595​
Year 4
24895510​
43320595​
Year 5
24895510​
43320595​
Year 6
24895510​
43320595​
Year 7
29993140​
48418225​
Year 8
29993140​
48418225​
Year 9
29993140​
48418225​
Year 10
33616115​
52376875​
Year 11
33616115​
52376875​
Year 12
34931035​
53691795​
Year 13
34931035​
53691795​
397230850​
601249485​
Hiyo ni hela au namba za simu
 
dah yaani ada ya mwaka ni pensheni ya miaka yako yote ya kuifanyia kazi serikali..................
 
tehteh
na umesahau kuna school trip kwenda Australia kuangalia kondoo wenye manyoya na penguin
unakuta ni 4000usd.........
 
tehteh
na umesahau kuna school trip kwenda Australia kuangalia kondoo wenye manyoya na penguin
unakuta ni 4000usd.........
Mara nyingi hizo trip zinajumuishwaga kweny ada, Ila kama ni shule kama feza boys kwenye ile ada ya milioni 6 haiwezi kukidhi mahitaji ya kusafiri nje ndio maana wanawaambiaga wanafunzi wanaotaka kwenda nje walipie gharama za safari nje ya ada
 
Kwan ao watt ndo wanakuja kua akina nan
Wanakuja kuwa watu waliofunguka sana kiakili mpaka kufikia kukataa mishahara ya milioni 40 kwa mwezi ili wajiajiri kwa kuanzisha makampuni makubwa, mfano ni dogo yule alieajiriwaga na bill gates akakataa milioni 40 kwa mwezi na hivi sasa navyoongea ile app yake aliyoitengeneza inamtengenezea pesa chafu, kwa elimu yetu hii ya hawa necta ni vigumu sana mtu akatae milioni 40 kwa mwezi.

pia kuna kina matajiri wa nchi hii waliosoma hapo kama kina manji, MO n.k hata kina p funk japo watukutu na kuacha shule walifanikiwa kufanya mambo makubwa katika industry ya mziki
 
Back
Top Bottom