Kama statistics basi tunaweza kusema JK kawapendelea wakiristo mfano zaidi ya 65% ya mawaziri ni wakiristo, wakuu wa mikoa wengi ni wakiristo, wakuu wa wilaya, majajina karibia kila sekta wengi ni wakiristo. JK hana hata chembe ya udini ila nyie ndio mtaka kuleta mambo hayo ya udini. Tuachane...