kwanza kabla ya yote rais wa Tanzania siyo mbunge, kwa kenya sawa, pili ili kuthibitisha hilo rais ataruhusiwa kuingia bungeni pindi tu katiba au mwongozo wa bunge utakapo vunjwa na kuafikiwa na wabunge wote,
hoja yako ya pili ninadhani huelewi vizuri siasa nahujui kuhusu bunge na wabunge, nani anaruhusiwa kuunda kambi ya upinzani, jaribu kwanza kusoma katiba na miongozo yake ndio uwasilishe hoja. wabunge wa chadema hawajachaguliwa na kikwete, wamechaguliwa na wananchi na wapo pale kutetea maslahi ya wananchi,
Tatu nimetambua uwezowako ni mdogo kweli kama ulivyotangulia kusema wewe unadhani siasa ni uadui sisi kama CHADEMA hatuendeshi siasa za uhasama na kusalimiana kwa Dr Slaa na pinda ndo kielelezo tosha kwamba tupo katika kutetea maslahi ya nchi ukijumlisha na pinda kwani naye ni mwananchi.
ANGALIZO:
kama ubongo wako ni wa mgando kimawazo usitumie kuwadanganya hata wale walioelimika, kaa kimya tuachie sisi tunayohitaji mabadiliko na tutayapata yatakusaidia wewe na watoto wako.
Kweli kaka ngau wewe una akili sana;
kumbuka kama umefuatilia siasa physically sio za kwenye keyboard, kuna sehemu watu wamakufa, ofisi za ccm kuchomwa moto, nyumba za wanachama kuchomwa moto n.k, wounds that have been caused by recently election in some areas you can heal!
kwa layman wa kawaida kabisa, kama mimi ukiacha wewe mwenzetu mwenye akili ni ngumu sana ku-comprehend the reality. nashangaa hata muansiha maada alijishusha ili ngau usitumie maneno yale yale, lakinikama ilivyozoeleka umepokea defensive hili swala
Rais aliteua jina la PM, Tundu Lissu ndiyo aliyeenda kuhesabu kura, na same president hatambuliwi, kukataa matokeo ni kesi kubwa na I am telling you, wananchi wengi wangekuwa nyuma ya chadem kuipa support for any move, kama hauamini nenda segerea, uone mahanha asivyokuwa kwenye amani!!
Huu ukondoo ,ndio unaosababisha watu wasipige kura next elections! tusijione tumefika na hawa wabunge, wananchi hawa hawa huwa wanabadilika msisahau hili na issue ya RUZUKU inazumngumzwa sana, kuwa jamaa wamepata walichokuwa wanataka na wale walioumia na kubaki na makovu yatabaki hivyo hivyo huku nguvu yao ikiwa imepotea bire, mwaka 2015 mtamtaka tena huyu mtu awapigi ekura! my foot!
Guys hii issue ni serious kuliko mnavyodhani, the very applausible move ya kusema hawatambuai matokeo was excellent and supportive, lakini kinachoendela baada ya hapo ni confusion, watu wakiuliza wanaambiwa una uelwa mdogo! yuko wapi Rais Mteule Slaa?
hivi siasa za amani zikoje, wakisema wanasusia bunge ngau kutikisa kiberiti sio faraja tosha kwa walioumia? ili hali wakitengeneza na kufanya cheap and sel-explanatory campaigns za mwaka 2015, turnout ya watu itakuwa kubwa wakiamini na KUJISEMA LETS SEE THIS TIME AGAIN!!! lakini hali ya sasa ina warudisha nyuma wengi na they will evenetually forget Chadema soon!
This is forum, hakuna sifa wala kujuana humu, hizi defensive and 'shatap' comments hazitusaidii kwenye ukombozi, it hurts us, really!, usije shangaa mwaka 2015 cahdema inapata wabunge 4?? in poltics is possible, just do what voters need!