Jamani wana jamvi naomba kujua. Kwa kozi zitolewazo ADEM kwa level ya diploma, je unaweza utumie ufaulu wake kusoma degree ipi na wapi ? Ikizingatiwa kwa sasa ni mwalimu wa daraja la IIIA
Hujaelewa. Hiyo inatengenezwa hoja Ya namna gani kamzigo kadogo kanaweza wekwa mfukoni mwa anaesearch na akapandikiza. Hivyo tegemea mwisho wa siku picha litakuwa kapandikiziwa zigo ndio maaana walienda masaa nje na sheria itakavyo.
Issue ni kuwa inazirudishaje?? Umesoma bandiko?? Serikali iliuza nje, manji akazinunua then Leo anapokonywa sio anawauzia. Unadhani ni urudishaji huo?? Kanyaga twende
Kwanza una umri gani hapa jf?? Au ndio zile za kukutia TV ukubwani na ulazimishe kujua kucontrol wakati watu wanakuchora?? Umeingia Jf mwaka Jana tuu hivyo usilazimishe kupost hata kama umeona jibu la swali lako kwenye bandiko la awali
Unaweza uuambie umma uliopo humu ndani katika thread halisi wapi chama kimeguswa??? Au ndio kusema ukirusha jiwe kichakani ukisikia mlio ujue kuna aliepatikana???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.