Demand ndio inawapa watz ajira na sio huyo manji na kampuni zake, ukiacha wewe haimaanishi unaondoka na demand, watakuja wengine na kuziba pengo. Kumbuka, kinachotoa ajira ni demand,sio mtu.Leo bahkressa akakosa kabisa kuuza hata chupa moja ya maji, ataendelea na biashara hiyo? Ila kwa kua demand ya maji ipo basi anauza na watu wanapata ajira. Embu aache kutengeneza hayo maji uone kama hakuna kampun 10 na zaidi hazijaanzishwa ku-cover hilo pengo na kutoa ajira sawia kama sio zaidi. Mtu hatoi ajira hata siku moja, ni DEMAND ndio inaajiri watu, mpumbavu kabisa wewe kutetea wauza unga hapa