leipzig
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 2,766
- 1,716
Yusuph Manji ndio Mtuhumiwa pekee katika igizo Ka Makonda aliewekwa Mahabusu muda mrefu zaidi akituhumiwa kuwa Muuza dawa za kulevya na sasa imebadililishwa Tuhuma na kuwa Mtumiaji
Kama ni utumiaji basi sio Manji pekee tuwakamaye watumiaji wote na sio kuwatengenezea mazingira ya tiba.