1)kura vijijini: watu wengi vijijini wanasubiri pilau, kanga, vitenge na ahadi za uongo za CCM
2)kura za wakina mama: wakina mama wengi bado wana mapenzi makubwa na CCM. Wakiwapewa kanga, vitenge na show za bongo fleva.
3)Mapenzi na Vyama vya Siasa: Tofauti za siasa za Tanzania na nchi nyingine...
Wanaotaka Urais wajitokeze tuwajue.
Wakijitokeza tutawauliza wanataka kwenda Ikulu kuifanyia nini Tanzania.
Tutawauliza wana uwezo wa kupambana na ufisadi na uhujumu uchumi unaotikisa nchi?
Tutawauliza wanajua ndugu zetu vijijini wanakabiliwa na umasikini uliopindukia na mipango ya maendeleo...
J.K ni Rais wa Tanzania. Mbowe ni mwenyekiti na mbunge wa Chama cha upinzani. Heshima zao hazipo level moja. Mimi naona kosa la mbowe ni kusafiri wakati wa maandamano na sio hiyob dolla 700
BMK linaendelea na vikao vyake. Licha ya kundi ukawa kususia kwa madai ya kubezwa na kuburuzwa na wajumbe kutoka CCM. Baada ya kutoka nje Ukawa, wito kutoka makundi mbalimbali umetolewa wakiwataka kurejea na kutoa hoja wanazozitoa wakiwa ndani ya bunge. Ili zijadiliwe na kama zitakubaliwa basi...
BMK linaendelea na vikao vyake, licha kundi la ukawa kususia kwa madai ya kubezwa na kuburuzwa na wajumbe kutoka CCM. Baada ya kutoka nje Ukawa, wito kutoka makundi mbalimbali umetolewa wakiwataka kurejea na kutoa hoja wanazozitoa wakiwa ndani ya bunge. Ili zijadiliwe na kama na zitakubalika
Bila Tanganyika Zanzibar isingekuwepo. Wapemba wangetaka uhuru. Kumbuka shein ndo mpemba wa kwanza kua rais nyie wazenji bila sisi msingemkubali. Nyie mlikua mnamtaka bilali. Kama upendi muungano nitajie mambo muhimu ambayo sisi tunawazuia kufanya. Viongozi wenu hatuwazui kuwaletea nyie...
Nyie wazanzibari mnataka nini? Sisi tupo milioni 45 nyie mpo milioni 3. Mna bahati nyerere alikua dictator mwenye roho nzuri. Nyie mlibidi msiwe na serikali yenu. Mlibidi zanzibar iwe koloni letu. Ukitoa taarabu na mambo ya kishoga hamna kitu chochote mnacholeta tanganyika.
kuna rumors before 2015 mkuu atampa membe uwaziri wa mambo ya ndani au uwaziri mwingine ili atafute umaarufu ambao bado hana kwa wananchi wa vijijini, ambao ndo mtaji mkubwa wa ccm. bila kufanya hivyo wanaisi itakua ngumu kwa ccm kumuuza kwa wananchi. unakumbuka 1995 baba wa taifa alizunguka...
kaka kumbuka wanawake wapo tofauti na sisi wanaume. mwanamke anaweza kupata upendeleo ambao watu wakashangaa. nadhani unakumbuka mama yetu spika alivyoupata uspika. huyu nadhani anaweza kurudi wizara ya mambo ya nje. uhusiano wake na jk na mkapa unaweza kumbeba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.