armanisankara
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 283
- 49
BMK linaendelea na vikao vyake, licha kundi la ukawa kususia kwa madai ya kubezwa na kuburuzwa na wajumbe kutoka CCM. Baada ya kutoka nje Ukawa, wito kutoka makundi mbalimbali umetolewa wakiwataka kurejea na kutoa hoja wanazozitoa wakiwa ndani ya bunge. Ili zijadiliwe na kama na zitakubalika