Kawaida tu hiyo. Mbona hata sisi Tanzania tulimvimbia marekani. Ni kutafuta kiki tu ili nchi nayo ikumbukwe. Kuna nchi unaweza kuzisahau kama zipo endapo kusipokuwa na sababu
ubaguzi hata hapa Tanzania upo. tena wa wenyewe kwa wenyewe. hasa ukabila na udini. Tukitaka kutokomeza ubaguzi tuache sisi majumbani kwetu kisha ndo twende kwa jirani
yawezekana ukamuona mjinga ila mjinga ni wewe ambaye umeshindwa kujua point yake. anakusanya maoni na ushauri wa mipango yake. ili kama kuna mawazo mazuri zaidi ya aliyo nayo yapate kumpa fulsa. na yawezekana wewe ukawa abiria wa ishirini na wote amewaambia
Uwepo wa kifo ndio hudhihirisha kuwa maisha yalikuwepo.
Maisha yasingekuwa na thamani yaliyonayo kama kusingekuwa na kifo.
Usiogope kufa lakini usife kizembe.
Solution ni kutengeneza barabara nzuri na pana la sivyo tutakufa sana, unakutana na shimo sehemu ya kona then kilami chenyewe kama ulimi ukikwepa shimo tu umekutana na gari nyingine buuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.