luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
Habarini za usiku wakuu, kwa masikitiko mwanamuziki Josky Kiambukuta amefariki dunia mapema Leo huko Kinshasa.
Marehemu Josky Kiambukuta alikuwa mwanamuziki hodari aliyeimba katika bendi ya Tp okk jazz ya marehemu Franco, alijiunga na band hiyo mwaka 1973.
Nyimbo maarufu za marehemu Josky Kiambukuta Londi Ni Chandra, sincerite, ayez pitie n.k
Alizaliwa 14 February 1949
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pepa peponi
Sehemu ya kazi yake:
Cc
Lucas Mobutu
Masiya
Marehemu Josky Kiambukuta alikuwa mwanamuziki hodari aliyeimba katika bendi ya Tp okk jazz ya marehemu Franco, alijiunga na band hiyo mwaka 1973.
Nyimbo maarufu za marehemu Josky Kiambukuta Londi Ni Chandra, sincerite, ayez pitie n.k
Alizaliwa 14 February 1949
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pepa peponi
Sehemu ya kazi yake:
Cc
Lucas Mobutu
Masiya