Wajuzi wa interview za utumishi naomba kufahamu usaili utakaofanyikia St.joseph university in Tanzania (SJUIT) LAB UB-7 ni campus gani kwa hapa dar?...Engineering campus au health campus?
Mkuu kwa maslahi mapana ya maisha yako sikushauri kabisa umweleze mkeo jambo hilo. Siku utakayo fungua domo lako na kujifanya unampenda sana eti umweleze mpaka siri zako za ndani hilo ndio litakua anguko lako mkuu. Hisia zisikuendeshe sana ukajiona una hatia ili hali hiyo ni damu yako. Kila mtu...
Know the right time to walk away laasivyo utajikuta unaangukia pua...you still have a life to live mkuu and huwezi jua uwenda hakua chaguo sahihi kwako Mungu amekuepusha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.