Recent content by Aris Saolanica

  1. Aris Saolanica

    Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    Story tamu sana sema huku mwisho unazidisha chumvi kupita kiasi
  2. Aris Saolanica

    Tabia ya Wadada wa mitandaoni kuomba bando imekaaje?

    wengine wanajifanya wanaomba uwatumie hela ya kula lunch kumbe ndio gia ya kuibiwa
  3. Aris Saolanica

    Tabia ya Wadada wa mitandaoni kuomba bando imekaaje?

    Ni heri akate hela ya bando kwenye huduma atakayonipa sawa na VAT au TOZO wanavyofanya yaani kama akinichaji 25,000 basi hela yake ya bando ni 5,000
  4. Aris Saolanica

    Tabia ya Wadada wa mitandaoni kuomba bando imekaaje?

    Wanajamvi habarini za majukumu. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Hivi karibuni nilifanya utafiti wangu mdogo na katika utafiti wangu niligundua asimilia 50% au 60% ya Wadada mitandaoni wanauza papuchi. Ingawa baadhi yao ni vigumu kuwagundua kirahisi. Picha zao zimekuwa...
  5. Aris Saolanica

    Maisha ya kuanza kujitegemea ukiwa mtu mzima Ni stress tupu vijana anzeni kujipanga from 25

    Pamoja sana mwamba. Naendelea kupambana maana hakuna uchawi kwa mentali hivyo naimani ipo cku milango itafunguka na bahari itakuwa shwari. Mishe zitapatikana, nitaanza kujitegemea na hatimaye familia itaanzishwa.
  6. Aris Saolanica

    Maisha ya kuanza kujitegemea ukiwa mtu mzima Ni stress tupu vijana anzeni kujipanga from 25

    Mwaka wa 30 nipo nyumbani. Nimejitahidi sana kutoka home nikaanzishe maisha mengine lakini mahesabu yamegonga mwamba. Naishi kwenye familia ya mzazi mmoja cha ajabu mother hasemi chochote yeye yupo bize na inshu zake. Warembo 3 wamenikimbia kisa kuendelea kwangu kukaa nyumbani. Kila napojaribu...
  7. Aris Saolanica

    Ukitaka kwenda kuishi Marekani inabidi ujipange

    Naomba namba yako mkuu. Ikiwezekana ni pm
  8. Aris Saolanica

    Kwa Experience yangu ya muda mfupi kwenye "Betting" nimegundua mambo machache

    Soon nitaingia chimbo kuandaa kitabu cha betting, nahitaji maoni yenu na sapoti yenu katika hili.
  9. Aris Saolanica

    Kwa Experience yangu ya muda mfupi kwenye "Betting" nimegundua mambo machache

    Betting inahitaji kufanya kazi kwa bidii, coz huwezi kufanya betting kama huna mzunguko wa pesa angalau kuwa na uhakika wa buku 3 na kuendelea kwa siku itakuwa ngumu kuachive. ukitaka kubeti vizuri hutakiwi kuweka stress kwenye mkeka na stake uliyoweka. Betting inahitaji records na ufuatiliaji...
  10. Aris Saolanica

    Kwanini vijana/watoto wengi waliotumikia Altareni Leo hii asilimia kubwa sio watu wa dini wala kusali

    Kwanini ulisita? je ni sababu gani ilikufanya husiwe muumini safi iwapo hukuwa na wito wa kipadre? maana watu wengi waliopitia seminari uendelea kuwa karibu na kanisa hata kama walikimbia wito wa kipadre.
  11. Aris Saolanica

    Gerson Msigwa: Rais ameagiza kufunguliwa kwa Online TV tu na sio Vyombo vingine vya Habari

    Mtoa uzi kimsingi bado sijakuelewa, unapaswa kufafanua vizuri na kuweka wazi ni kitu gani alikisema huyo kigogo wa wizara
  12. Aris Saolanica

    Omega Ngowi: Rubani mdogo mwenye ujasiri

    sidhani kama kwa hapa bongo kusomea hiyo kitu tunaweza kufikia hizo gharama mkuu kwani kwa nje ya nchi tu inaweza kuwa around 50 million hivi au isifike kwa kutegemea chuo na chuo ada yake imekaaje. Angalia usije vunja moyo watu wengine wanaohitaji kusomea hiyo fani maana hata tukipiga mahesabu...
Back
Top Bottom