Nadhani kuandamana ni haki ya kiraia! Ila kuwe na organisation kabla ya kuandamana! Suala la Katiba ni suala la kitaifa! Kuna wengi tumehuzunishwa na kuchukizwa na kile kilichotokea katika BMK na baadhi yetu si wanachama wa vyama vya siasa kwani havotuwakilishi wote hususani wale tulio mrengo wa...
LHRC nawapongeza kwa kazi zenu! Ila kwa hili la uchunguzi halina tija inabidi mwelekeze nguvu kwenye kuwajengea wananchi uelewa wa katiba pendekezwa ili waweze kufanya uamuzi sahihi wakati wa upigaji wa kura! Mama Bisimba na Sungusia pamoja na Masanja and Co. Its time you guys mpishe watu...
Unacho kiongelea mtoa mada si kweli. Hao matajiri walio wengi ni OUTLIERS yaani kinachooneka na kusemwa kwa nje si kweli. Kuna advantage zilizo jificha ndani amabazo wamezitumia ipasavyo. Tafuta kitabu cha GLADWELL kina title hiyo hapo juu ndio utajua waliko anzia. Kuna masuala mazima ya...
Kaka pole kwa mwendo huu wa kuandika ELEMU, SIZANI sijui kama kuna kitu unaweza kufanya hapa duniani achilia mbali kujiajiri labda uajiriwe.Habari ya KUTUNZA kondoo hakuna mwenye kondoo atakayekupa utunze kwasababu kondoo wanafugwa. Pia acha kusingizia umesoma mpaka mwisho. Nionavyo mimi...
Mamake alikuwa India kwa matibabu. Na alirudi na akawa anaendelea na matibabu nyumbani. Siku tatu zilizopita alizidiwa na kukimbizwa hospitali ambako anaendelea na matibabu. Hali yake c nzuri kwa sasa. Kuhusu kuhudhuria mkutano ni kweli ila kabla mamake hajazidiwa
Mkuu, Zitto anamuuguza mama yake! Mama ni mgonjwa na amelazwa hospitali. Anahitaji sala zetu kama binadamu wengine! Zitto pia anahitaji support yetu katika kipindi hiki
Msilete story zenu za uzushi! Mimi nipo Kigoma na Benson nimemwona ila hajanusurika kuuwawa ila anashirikiana na polisi pamoja na Usalama toka amefika hapa. Iweje CHADEMA waombe ulinzi kwa waliokuwa wanawaona dhaifu?
Kaka ushaacha kutembea na sumu? Ninachojua mimi ni kuwa kama kaenda Mbeya basi kaenda leo na labda kakodi ndege. Mimi nipo Kigoma wewe mkaanga sumu hapo Ufipa street endelea na propaganda zako. Labda kapanda ungo kwa sababu hata gari binafsi kwa muda niliomuona mimi katika hotel ya MWAKA HILL...
Mkurugenzi wa Oganaizesheni ya mafunzo wa CHADEMA yupo chini ya ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi na Usalama wa Taifa mjini Kigoma.
Kigaila ameingia Kigoma toka tarehe 29/11/2013 na mara moja akaripoti kwa aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Aidan Ndowa. Ndowa ni mshirika wa kibiashara na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.