Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,707
- 4,578
Huyo mama anataka kuchanganyikiwa, siyo bure achunguze nini? Mwambieni arudishe fedha za wazungu zitamtokea puani ameshiriki kuwadanganya wajerumani kuwa wao na ukawa eti ndo wenye uwezo wa kusababisha kupata katiba! Na ITV daima wamepeana vipindi mpaka wamechoka hakuna mabadiliko, ndo mjue watanzania runawajua upapeta wenu kwa wazungu
Mkuu umenena vema. Nilimstukia mapema sana kuwa ni pandikizi la wazungu kuleta unreast nchini kupitia chagadema katika mgongo wa UKAWA, lakini vyama vingine vimewabaini mapema!