Kama kipimo cha kumudu kulea ni kipato cha muhusika; hapo napo unapimaje? Ambae analipwa laki 3 mfano; anapaswa kuwa na watoto wangapi? anaelipwa laki 7,... na kama hiki ndio kipimo; inamaana wale ambao hawana ajira rasmi hawastahiki kuwa na watoto? Na wale wenye vipato vikubwa; inamaana...
Mkuu nadhani ni kauli mbiu hii "kuwa na watoto ambao utawamudu kuwalea", hawa hawakuwa straight katika hili kama wewe, "Standard kwa tajiri wa 3, asie na uwezo wa 2" kutokuwa kwao straight ndio msingi wa thread hii... kipimo kipi wanapaswa kutumia walio katika uhusiano ikiwa wanamudu au hawamudu?
Katika swala la uzazi wa mpango; walio katika mahusiano wanashauriwa kuwa na idadi ya watoto ambao watamudu kuwalea.
Kipimo kipi ni sahihi katika kupima idadi sahihi ya watoto wanaopaswa kuwanao?
Kipato chao (Fedha),
Umri wa wao (wazazi),
Tofauti ya umri kati ya mtoto mmoja na anaefuatia...
Katika zile dalili kubwa kumi za mwisho za kuashiria ukaribu wa siku ya mwisho/Judgment Day/Qiyamah (Rejea part 1 ikiwa haukupitia), kuna dalili kubwa kadhaa ambazo zimesha jitokeza kulingana na tafsiri/mtazamo, dalili hizo ni;
Kuchomoza jua Maghrib na kuzama Mashariki
Ujio/Uwepo wa Ant...
Siku chache zilizopita kuli kuwa na taarifa juu ya kuwasili team ya ACACIA kuonana na Serikali kuhusu kujadili deni wanalodaiwa kwa mujibu wa ripoti za kamati mbili zilizoundwa na Mheshimiwa, sijapata update tena...
Wale jamaa bado wapo?
Mjadala umefikia wapi?
Tunalipwa zile pesa au vipi?
Mwenye...
Upande wangu nimekuwa nikibakiwa na maswali tangu haya mambo yalipoanza kuripotiwa,
Hao wanaoitwa wahalifu/majambazi na wauwaji - ni sababu ipi haswa iliwapelekwea kuwa na ujasiri wa hadi kufikia kuvamia kituo cha jeshi la polisi na kupora silaha?
Ni sababu ipi iliwapa ujasiri wa kuwauwa walinda...
Vitabu tofauti vya kiimani vimezungumzia ujio wa mpinga kristo/ the false Masayah /Masihi Dajjar
Wasomi wa mambo ya Imani wamekuwa na miono/tafsiri tofauti kuhusu kuja kwake, nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu juu ya alama kubwa zinazo ashiria mwisho wa dunia/Qiyamah haswa dalili kubwa kumi kwa...
Habari wanajamvi,
Tatizo ya nguvu za kiume limekuwa likionekana ni tatizo kwa wanaume peke yao kwa muda mrefu kama ambavyo tatizo ya ugumba limekuwa likionekana likiwahusu wanawake peke yao,
Nifikiliavyo; wana wake wazembe katika kushiriki ipasavyo tendo la ndoa pia huenda ikawa ni sababu ya...
Habari,
Kuna mambo yanaendelea hapa duniani ni yakushangaza kwa wenye kutafakari,
Cha kushangaza zaidi ni mambo hayo kukumbatiwa pasi na kuhojiwa,
Kunielewa nini ninamaanisha, cheki attachment niliyoiambatanisha (ZOMBIE FASHION),
Hivi inakuwaje mtu mwenye akilizake, anafunga safari kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.