Arafat Bahdellah
Member
- Jan 15, 2013
- 77
- 27
Katika swala la uzazi wa mpango; walio katika mahusiano wanashauriwa kuwa na idadi ya watoto ambao watamudu kuwalea.
Kipimo kipi ni sahihi katika kupima idadi sahihi ya watoto wanaopaswa kuwanao?
MJUZI NITOE UKUNGU KATIKA FIKRA
Kipimo kipi ni sahihi katika kupima idadi sahihi ya watoto wanaopaswa kuwanao?
- Kipato chao (Fedha),
- Umri wa wao (wazazi),
- Tofauti ya umri kati ya mtoto mmoja na anaefuatia,
- Gharama za maisha (living standard).
MJUZI NITOE UKUNGU KATIKA FIKRA