Ndio, unaweza kufungua maabara yako ya private na cheti chako pamoja na leseni vikawepo maana diploma ndio ngazi ya mwanzo kusimamia lab, kupanda juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hili tatizo mm pia limenikumba....yaan unakuwa na imaginations za matatizo, majanga, magonjwa nk.
Ambapo nafsi inaanza kuyadiscuss in reality but in negative effect, ambapo utajikuta unaingiwa na huzuni kubwa kwa kuwa tayari umesha ona kuna hatari kubwa kupitia imagination, ( kuna mifano...
Safi sana, nakushukru na barikiwa sana maana I have been liften from various bad believes, Mungu akubariki mpendwa,"chochote chaweza kukupata kwa muda wowote na kwa mazingira ya aina yeyote" hatar sana keep it up bro.
No hata kama sio askari waweza soma pale kwa kozi ambazo zinawezwa kusomwa na mtu hata ambaye si askari, na chuo hiki kipo chini ya Nacte na med school ipo under wizara
Naomba kuchangia wazo, NTA level4 ni certificate kamili ya vyuo vitoavyo fani za mwaka mmoja ukitoa vyuo vya afya,kilimo,ualim na vingine vinavyofanana na kozi hizo ambapo kada za afya,,kilimo na ualim ili uhitimu na uwe na uwezo wa kufanya kazi lazima usome miaka miwili na kupewa cheti chake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.