The story of my interview failures and lessons learnt

The story of my interview failures and lessons learnt

hamna kitu kiliniuma kama ile siku niliyokuja hapo ofisini kwako nikiwa nina hustle at least nipate u volunteer, pale reception nilipo omba kuonana na HR wakanikatalia nikawaambia shida yangu walichofanya wakanipa form ya kujaza kama volunteer fomu yenyewe ni sawa na mtu anaeandaa disertation! nikajisemeza poa nikaideku nikasema ok..
nikaenda home mambo yakiwa bado magumu nikaona ni rudi tena duh hio siku ndo sito sahau maana nilikuwa na bahasha yangu ya CV nikapitiliza tena ili nikakutane na HR mara pap nikaambiwa kwa maombi ya kazi au chochote natikiwa ni ache CV pale getinkwa mlinzi nakumbuka nilirudi kama ili nishuke gorofa yenu niende nikampe yule mlinzi huku niendelea kuwa nikasema shuba miti yaani nimetoka huko uyole mpaka pale halafu nirudi bila ku mdekeree HR wai nikavuta handbrake nikapiga u-turn nikavizia PS kajipindua nikazama ndichi kwa HR wenu kule nako sijui nilikutana na na vivolunteer kashkaji kamoja kalinitolea mbovu ‘kwa sasa hatuajiri ‘ mie nikamjibu sitaki ajira ila nataka kujitolea’ wakati najibizana naye kwa upole na sauti yangu ya kutokea kooni nikauliza naomba kuongea na HR duh mara akaingia dada flani white anajisitiri basi moyo wangu ukawapasuka kwa furaha .. akaulizia nina shida gani ... nikamueleza akanisikia ila nikaongeza kuwa nataka kazi hata kama ni bure... akaniuliza fani yangu.. nikamjibu na nikaanza kushuka nondo za mradi wao mpango kazi wangu , matokeo yaani nilishuka kama vile niko CNN au kule wanapohojiwa mastaa.. kiukweli yule dada alifurahi akaipokea bahasha yangu kwa ajili ya reference na akaniambia baada ya wiki watatoa tangazo la kazi hivyo niombe na watatoa kupia gazeti au ule mtandao..
basi ndo hivyo walivyonitoa, nikasubiri hio wiki duh hola, mara hola holaaa kimyaa. duh nikawa najilaumu kwanini sikuchukua ile namba ya yule HR.

kwa hio kama ulivyoteseka brother kuipata hio position basi hao majamaa wanaojitolea hapo jaribu kuwa fevour na kuwasaidia kwa namna yeyote pia sio vizuri kuwaambia wateja wenu wanaotaka kazi wakaziache kule kwa mlinzi kiukweli inatia hasira maana kwa mlizi penyewe ni pale nje na huko palivyo na upepo na mvua mara mabahasha yetu kuyaacha exposed vile sio vizuri.

kwa sasa nipo kitaa naangalia ndinga zenu zinavyokatiza vijijini huku wakikusanya viazi na ndizi baada ya kutoka kwenye miradi yenu.
 
hamna kitu kiliniuma kama ile siku niliyokuja hapo ofisini kwako nikiwa nina hustle at least nipate u volunteer, pale reception nilipo omba kuonana na HR wakanikatalia nikawaambia shida yangu walichofanya wakanipa form ya kujaza kama volunteer fomu yenyewe ni sawa na mtu anaeandaa disertation! nikajisemeza poa nikaideku nikasema ok..
nikaenda home mambo yakiwa bado magumu nikaona ni rudi tena duh hio siku ndo sito sahau maana nilikuwa na bahasha yangu ya CV nikapitiliza tena ili nikakutane na HR mara pap nikaambiwa kwa maombi ya kazi au chochote natikiwa ni ache CV pale getinkwa mlinzi nakumbuka nilirudi kama ili nishuke gorofa yenu niende nikampe yule mlinzi huku niendelea kuwa nikasema shuba miti yaani nimetoka huko uyole mpaka pale halafu nirudi bila ku mdekeree HR wai nikavuta handbrake nikapiga u-turn nikavizia PS kajipindua nikazama ndichi kwa HR wenu kule nako sijui nilikutana na na vivolunteer kashkaji kamoja kalinitolea mbovu ‘kwa sasa hatuajiri ‘ mie nikamjibu sitaki ajira ila nataka kujitolea’ wakati najibizana naye kwa upole na sauti yangu ya kutokea kooni nikauliza naomba kuongea na HR duh mara akaingia dada flani white anajisitiri basi moyo wangu ukawapasuka kwa furaha .. akaulizia nina shida gani ... nikamueleza akanisikia ila nikaongeza kuwa nataka kazi hata kama ni bure... akaniuliza fani yangu.. nikamjibu na nikaanza kushuka nondo za mradi wao mpango kazi wangu , matokeo yaani nilishuka kama vile niko CNN au kule wanapohojiwa mastaa.. kiukweli yule dada alifurahi akaipokea bahasha yangu kwa ajili ya reference na akaniambia baada ya wiki watatoa tangazo la kazi hivyo niombe na watatoa kupia gazeti au ule mtandao..
basi ndo hivyo walivyonitoa, nikasubiri hio wiki duh hola, mara hola holaaa kimyaa. duh nikawa najilaumu kwanini sikuchukua ile namba ya yule HR.

kwa hio kama ulivyoteseka brother kuipata hio position basi hao majamaa wanaojitolea hapo jaribu kuwa fevour na kuwasaidia kwa namna yeyote pia sio vizuri kuwaambia wateja wenu wanaotaka kazi wakaziache kule kwa mlinzi kiukweli inatia hasira maana kwa mlizi penyewe ni pale nje na huko palivyo na upepo na mvua mara mabahasha yetu kuyaacha exposed vile sio vizuri.

kwa sasa nipo kitaa naangalia ndinga zenu zinavyokatiza vijijini huku wakikusanya viazi na ndizi baada ya kutoka kwenye miradi yenu.
Duuhh!!
Hao wote uliowa describe nawafahamu.
Sina cha kusema zaidi ya kukwambia kwamba usichoke kupambana. Ipo siku utafanikisha malengo yako.
Mungu akubariki sana kijana katika mihangaiko yako na matamanio yako!!
itara
 
Nimeamua kuandika huu uzi ili kuwatia moyo vijana watafutaji waliopo JF. Naona vijana wengi sana wahangaikaji na watafutaji humu JF, wengine wakiwa wamekata tamaa kabisa na kujiona kama hawana bahati katika maisha haya. Kwenye huu uzi nitaelezea interviews kadhaa ambazo niliitwa, nikafanya interview, lakini sikufanikiwa.

1. Ocean Road Cancer Institute (ORCI), Dar es Salaam.

Hii ilikua ni interview yangu ya pili katika career yangu, nakumbuka nili apply for this post nikiwa Moshi (niliona tu kwenye gazeti). Then nikaitwa kwa ajili ya interview Dar es salaam. Nakumbuka nafasi ilikuwa ni moja tu, na nilipofika pale nilikutana na wenzangu wanne, so jumla tulikua watano. Mmojawapo alikua ni mdada ambaye tulisoma nae medical school, ila alikua mwaka mmoja mbele yangu, alikuwa ni kichwa kweli kweli (kipanga).

Nikagonga interview fresh na interview kiukweli ilikuwa ya kawaida. Siwezi kusema kuwa i really nailed it, ilikuwa normal tu, baadhi ya maswali nilishindwa, ila mengi nilijibu vizuri. Kwa bahati mbaya kwangu, sikupata ile nafasi, ila aliipata yule mdada niliyesoma nae chuo, nikasonga mbele nikaendelea kupambana.

2.Tanzania Food and Drug Authority (TFDA), Dar es Salaam.

Hii pia as usual, walitangaza nafasi, nikatupia nikaitwa Dar for the interview. Nakumbuka nafasi nilizo apply walikuwa wanahitaji watu kama watano hivi. Kati ya interview nilizodunda hii iliniuma sana, kwa sababu niligonga interviews mbili (written then oral).

Interview ya kwanza (written) tulifanyia DUCE, people zilikua nyomi aisee, halafu nafasi zenyewe 5 tuu!! Niligonga ile pepa (ilikua imeshiba, ila nilikomaa), after that nikarudi zangu Arusha (kipindi hicho nilikua nafanya kazi Arusha). After like 2 weeks hivi, wakanigongea simu niende for oral interview. Nakumbuka hii oral tulifanyia pale TFDA makao makuu. Tulikuwa tumebakia mtu kama 12 hivi. Nikafanya ile oral interview, haikwenda vizuri sana, but i managed kujibu maswali kadhaa vizuri, kwa usahihi and confidently.

Kwa bahati mbaya sana, baada kama ya mwezi hivi nilipata barua from TFDA ikiniambia kuwa i was not selected for the post!! This was one of the saddest news i received, but kama kawaida yangu sikufa moyo, niliendelea kupambana!

3. Mradi fulani wa HIV/AIDS mikoa ya Southern Highlands Zone (Sitautaja kwa sababu maalum ambazo nitazieleza hapa chini)

Hapa ndipo ambapo nafanya kazi kwa sasa (ndio maana sijapataja, ili kuretain my anonymity). I have a history with this place.

Encounter ya kwanza nimeitwa for interview, i could not attend, at that moment nilikuwa nimesafiri kikazi, nipo Dar es salaam (hii organization makao makuu ni Mbeya). So, nilijaribu kuweza kuhudhuria hiyo interview, ila ilishindikana kabisa.

Encounter ya pili sasa ndio ambayo nilidunda!! Hiyo nafasi ilikua ni nafasi moja tuu, nikaitwa interview fresh, kufika nikakutana na wenzangu watatu. Niligonga ile interview, i felt that i did great, nilijibu maswali vizuri, ila kwa bahati mbaya after two weeks nikapata a regret email kunieleza kwamba i was not successful.

Encounter ya tatu sasa ndio iliyonipatia hii position ninayoitumikia sasa. Kwanza, its a higher position kuliko ile ambayo nilidunda (Siku zote Mungu huwa ana mipango mizuri zaidi kwa ajili yako,usikate tamaa mlango mmoja ukifungwa). Ilikua ni nafasi moja tuu, na tulikua mtu kama 8 hivi, ila nilipambana na Mungu alinisaidia.

SOMO:

1. Usiogope kutuma application au kwenda kufanya interview eti kwa vile hakuna unaemfahamu kwenye hiyo organization. Apply kila nafasi ambayo unadhani unaweza kufit. Bado zipo nafasi ambazo kweli ni merit based na sio kwa kujuana. Otherwise, mimi nisingeitwa kwenye interview hata moja, i come from a humble family, i started from scratch, bila kumjua yeyote kote nilipoomba kazi na hata kuitwa for interview, na baadhi hadi kupewa ajira.

2. Usiweke vinyongo ukidunda interview (hata kama akili yako inakutuma ulifanyiwa figisu), usikubali kuruhusu hili litawale akili yako!! Jitathmini wewe mwenyewe, na jiulize ni kipi unaweza kufanya ili kuwa bora zaidi in the next interview. Ukishakua na tabia ya kuweka vinyongo na kuamini kuwa ukidunda interview basi umefanyiwa figisu, kwanza haitakusaidia kitu, pili kila siku utakua hufanyii kazi mapungufu yako,badala yako unalaumu tu kuwa 'kujuana kwingi'. Ni sumu kubwa sana.

3. Usiende kwenye interview kichwa kichwa huku hujajiandaa, upo upo tuu!! Huna hata taarifa za msingi kuhusu hiyo organization/kampuni, hujui hata mission na vision ya hiyo kampuni, hata ukiambiwa utaji kazi tatu za hiyo organization, hujui!! Jiandae, na ujinoe haswa kwanza, kuhusu technical part of kazi unayoomba, lakini pia kuhusu basic information ya hiyo organization.

4. Usiogope ku apply nafasi ya kazi au kwenda kwenye interview eti kwa sababu labda nafasi yenyewe ni moja tuu au mbili. Maisha ni mapambano, wewe endelea kusubiri hadi ukiona wanahitajika watu 10 au 20 ndo u apply, utazidi kuchina kitaa. Mimi nilikua na apply na nikiitwa interview natia timu, hata kama nafasi ni moja, najua huu ni mpambano na chochote kinaweza kutokea, nikipata mswano, nikidunda i collect myself, naendelea na kupambana. Na kiuhalisia sasa, nafasi nyingi zenye maslahi mazuri ni zile ambazo utakuta anahitajika mtu mmoja tuu!! Usikubali kushindwa, untill it's over!!

vvm
Uzi huu umeponya wengi, God bless you brother
 
hamna kitu kiliniuma kama ile siku niliyokuja hapo ofisini kwako nikiwa nina hustle at least nipate u volunteer, pale reception nilipo omba kuonana na HR wakanikatalia nikawaambia shida yangu walichofanya wakanipa form ya kujaza kama volunteer fomu yenyewe ni sawa na mtu anaeandaa disertation! nikajisemeza poa nikaideku nikasema ok..
nikaenda home mambo yakiwa bado magumu nikaona ni rudi tena duh hio siku ndo sito sahau maana nilikuwa na bahasha yangu ya CV nikapitiliza tena ili nikakutane na HR mara pap nikaambiwa kwa maombi ya kazi au chochote natikiwa ni ache CV pale getinkwa mlinzi nakumbuka nilirudi kama ili nishuke gorofa yenu niende nikampe yule mlinzi huku niendelea kuwa nikasema shuba miti yaani nimetoka huko uyole mpaka pale halafu nirudi bila ku mdekeree HR wai nikavuta handbrake nikapiga u-turn nikavizia PS kajipindua nikazama ndichi kwa HR wenu kule nako sijui nilikutana na na vivolunteer kashkaji kamoja kalinitolea mbovu ‘kwa sasa hatuajiri ‘ mie nikamjibu sitaki ajira ila nataka kujitolea’ wakati najibizana naye kwa upole na sauti yangu ya kutokea kooni nikauliza naomba kuongea na HR duh mara akaingia dada flani white anajisitiri basi moyo wangu ukawapasuka kwa furaha .. akaulizia nina shida gani ... nikamueleza akanisikia ila nikaongeza kuwa nataka kazi hata kama ni bure... akaniuliza fani yangu.. nikamjibu na nikaanza kushuka nondo za mradi wao mpango kazi wangu , matokeo yaani nilishuka kama vile niko CNN au kule wanapohojiwa mastaa.. kiukweli yule dada alifurahi akaipokea bahasha yangu kwa ajili ya reference na akaniambia baada ya wiki watatoa tangazo la kazi hivyo niombe na watatoa kupia gazeti au ule mtandao..
basi ndo hivyo walivyonitoa, nikasubiri hio wiki duh hola, mara hola holaaa kimyaa. duh nikawa najilaumu kwanini sikuchukua ile namba ya yule HR.

kwa hio kama ulivyoteseka brother kuipata hio position basi hao majamaa wanaojitolea hapo jaribu kuwa fevour na kuwasaidia kwa namna yeyote pia sio vizuri kuwaambia wateja wenu wanaotaka kazi wakaziache kule kwa mlinzi kiukweli inatia hasira maana kwa mlizi penyewe ni pale nje na huko palivyo na upepo na mvua mara mabahasha yetu kuyaacha exposed vile sio vizuri.

kwa sasa nipo kitaa naangalia ndinga zenu zinavyokatiza vijijini huku wakikusanya viazi na ndizi baada ya kutoka kwenye miradi yenu.

Daaah pole sana
Mm nimewahi uzuria interview zao
Kuna changamoto nyingi sana pale ndani
Kupeana nafasi pia ni kwingi
 
hamna kitu kiliniuma kama ile siku niliyokuja hapo ofisini kwako nikiwa nina hustle at least nipate u volunteer, pale reception nilipo omba kuonana na HR wakanikatalia nikawaambia shida yangu walichofanya wakanipa form ya kujaza kama volunteer fomu yenyewe ni sawa na mtu anaeandaa disertation! nikajisemeza poa nikaideku nikasema ok..
nikaenda home mambo yakiwa bado magumu nikaona ni rudi tena duh hio siku ndo sito sahau maana nilikuwa na bahasha yangu ya CV nikapitiliza tena ili nikakutane na HR mara pap nikaambiwa kwa maombi ya kazi au chochote natikiwa ni ache CV pale getinkwa mlinzi nakumbuka nilirudi kama ili nishuke gorofa yenu niende nikampe yule mlinzi huku niendelea kuwa nikasema shuba miti yaani nimetoka huko uyole mpaka pale halafu nirudi bila ku mdekeree HR wai nikavuta handbrake nikapiga u-turn nikavizia PS kajipindua nikazama ndichi kwa HR wenu kule nako sijui nilikutana na na vivolunteer kashkaji kamoja kalinitolea mbovu ‘kwa sasa hatuajiri ‘ mie nikamjibu sitaki ajira ila nataka kujitolea’ wakati najibizana naye kwa upole na sauti yangu ya kutokea kooni nikauliza naomba kuongea na HR duh mara akaingia dada flani white anajisitiri basi moyo wangu ukawapasuka kwa furaha .. akaulizia nina shida gani ... nikamueleza akanisikia ila nikaongeza kuwa nataka kazi hata kama ni bure... akaniuliza fani yangu.. nikamjibu na nikaanza kushuka nondo za mradi wao mpango kazi wangu , matokeo yaani nilishuka kama vile niko CNN au kule wanapohojiwa mastaa.. kiukweli yule dada alifurahi akaipokea bahasha yangu kwa ajili ya reference na akaniambia baada ya wiki watatoa tangazo la kazi hivyo niombe na watatoa kupia gazeti au ule mtandao..
basi ndo hivyo walivyonitoa, nikasubiri hio wiki duh hola, mara hola holaaa kimyaa. duh nikawa najilaumu kwanini sikuchukua ile namba ya yule HR.

kwa hio kama ulivyoteseka brother kuipata hio position basi hao majamaa wanaojitolea hapo jaribu kuwa fevour na kuwasaidia kwa namna yeyote pia sio vizuri kuwaambia wateja wenu wanaotaka kazi wakaziache kule kwa mlinzi kiukweli inatia hasira maana kwa mlizi penyewe ni pale nje na huko palivyo na upepo na mvua mara mabahasha yetu kuyaacha exposed vile sio vizuri.

kwa sasa nipo kitaa naangalia ndinga zenu zinavyokatiza vijijini huku wakikusanya viazi na ndizi baada ya kutoka kwenye miradi yenu.
Nimejikuta nikiisoma tena hii comment yako wakati huu... nimeshahama from this organization, pia hao jamaa wa HR wote ambao umewataja hapa walishapigwa redundancy wote.
Dunia ni duara.
itara
 
Nakubaliana nawe asilimia mia moja, kwangu ilitokea hivi baada ya kusota about two years nikaamua kujitolea kufanya kazi bila malipo na taasisi fulani ambayo baadae walianza kunilipa posho kutoka na bidii na nidhamu niliyokuwa nayo.

Then nikaona tangazo la ajira kwenye net Ila Kenya nika apply baada ya wiki nikaitwa through email pale Haile Silassie avenue Agip house opposite na Central Bank tulikuwa watu kama sita hivi nikajipima nikaona duh hapa sijui kama ntatoboa maana jamaa wanashusha ngeli ya Scotland hii yangu ya St Kayumba itapita kweli.... But during the interview I felt the panel was delighted with my answers, I was confident and calm. Mungu ni mwema nikaipata hiyo kazi, niliifanya vyema for two years and eight months then nika resign baada bi mkubwa wangu kupata maradhi yaliyohitaji niwe karibu nae.

Nikarudi bongo nikakomaa ilinichukua tena a year kuamua kutafuta kazi baada ya bi mkubwa kupona. Next position nayo nili appy kwenye net tu nikaitwa nikapiga vizuri kiasi maana was an international organization panel nzima whites na HR manager ndo mbogo hakuna anaenijua wala nae mjua. Mungu Ni mwema pia nikatoboa nilipiga nao mpaka nilipo amua kuacha mwenye nifanye kazi binafsi.

Vijana wasiogope, wasikate tamaa wala kutegemea godfather's sana jiamini omba kila nafasi ya carrier yako Mungu akuachi ukimtanguliza, pia ukiweza kuanzisha ajira yako bila kuajiriwa ni jambo zuri zaidi Kama una self discipline, leadership na uko creative and innovative.
 
Nimeamua kuandika huu uzi ili kuwatia moyo vijana watafutaji waliopo JF. Naona vijana wengi sana wahangaikaji na watafutaji humu JF, wengine wakiwa wamekata tamaa kabisa na kujiona kama hawana bahati katika maisha haya. Kwenye huu uzi nitaelezea interviews kadhaa ambazo niliitwa, nikafanya interview, lakini sikufanikiwa.

1. Ocean Road Cancer Institute (ORCI), Dar es Salaam.

Hii ilikua ni interview yangu ya pili katika career yangu, nakumbuka nili apply for this post nikiwa Moshi (niliona tu kwenye gazeti). Then nikaitwa kwa ajili ya interview Dar es salaam. Nakumbuka nafasi ilikuwa ni moja tu, na nilipofika pale nilikutana na wenzangu wanne, so jumla tulikua watano. Mmojawapo alikua ni mdada ambaye tulisoma nae medical school, ila alikua mwaka mmoja mbele yangu, alikuwa ni kichwa kweli kweli (kipanga).

Nikagonga interview fresh na interview kiukweli ilikuwa ya kawaida. Siwezi kusema kuwa i really nailed it, ilikuwa normal tu, baadhi ya maswali nilishindwa, ila mengi nilijibu vizuri. Kwa bahati mbaya kwangu, sikupata ile nafasi, ila aliipata yule mdada niliyesoma nae chuo, nikasonga mbele nikaendelea kupambana.

2.Tanzania Food and Drug Authority (TFDA), Dar es Salaam.

Hii pia as usual, walitangaza nafasi, nikatupia nikaitwa Dar for the interview. Nakumbuka nafasi nilizo apply walikuwa wanahitaji watu kama watano hivi. Kati ya interview nilizodunda hii iliniuma sana, kwa sababu niligonga interviews mbili (written then oral).

Interview ya kwanza (written) tulifanyia DUCE, people zilikua nyomi aisee, halafu nafasi zenyewe 5 tuu!! Niligonga ile pepa (ilikua imeshiba, ila nilikomaa), after that nikarudi zangu Arusha (kipindi hicho nilikua nafanya kazi Arusha). After like 2 weeks hivi, wakanigongea simu niende for oral interview. Nakumbuka hii oral tulifanyia pale TFDA makao makuu. Tulikuwa tumebakia mtu kama 12 hivi. Nikafanya ile oral interview, haikwenda vizuri sana, but i managed kujibu maswali kadhaa vizuri, kwa usahihi and confidently.

Kwa bahati mbaya sana, baada kama ya mwezi hivi nilipata barua from TFDA ikiniambia kuwa i was not selected for the post!! This was one of the saddest news i received, but kama kawaida yangu sikufa moyo, niliendelea kupambana!

3. Mradi fulani wa HIV/AIDS mikoa ya Southern Highlands Zone (Sitautaja kwa sababu maalum ambazo nitazieleza hapa chini)

Hapa ndipo ambapo nafanya kazi kwa sasa (ndio maana sijapataja, ili kuretain my anonymity). I have a history with this place.

Encounter ya kwanza nimeitwa for interview, i could not attend, at that moment nilikuwa nimesafiri kikazi, nipo Dar es salaam (hii organization makao makuu ni Mbeya). So, nilijaribu kuweza kuhudhuria hiyo interview, ila ilishindikana kabisa.

Encounter ya pili sasa ndio ambayo nilidunda!! Hiyo nafasi ilikua ni nafasi moja tuu, nikaitwa interview fresh, kufika nikakutana na wenzangu watatu. Niligonga ile interview, i felt that i did great, nilijibu maswali vizuri, ila kwa bahati mbaya after two weeks nikapata a regret email kunieleza kwamba i was not successful.

Encounter ya tatu sasa ndio iliyonipatia hii position ninayoitumikia sasa. Kwanza, its a higher position kuliko ile ambayo nilidunda (Siku zote Mungu huwa ana mipango mizuri zaidi kwa ajili yako,usikate tamaa mlango mmoja ukifungwa). Ilikua ni nafasi moja tuu, na tulikua mtu kama 8 hivi, ila nilipambana na Mungu alinisaidia.

SOMO:

1. Usiogope kutuma application au kwenda kufanya interview eti kwa vile hakuna unaemfahamu kwenye hiyo organization. Apply kila nafasi ambayo unadhani unaweza kufit. Bado zipo nafasi ambazo kweli ni merit based na sio kwa kujuana. Otherwise, mimi nisingeitwa kwenye interview hata moja, i come from a humble family, i started from scratch, bila kumjua yeyote kote nilipoomba kazi na hata kuitwa for interview, na baadhi hadi kupewa ajira.

2. Usiweke vinyongo ukidunda interview (hata kama akili yako inakutuma ulifanyiwa figisu), usikubali kuruhusu hili litawale akili yako!! Jitathmini wewe mwenyewe, na jiulize ni kipi unaweza kufanya ili kuwa bora zaidi in the next interview. Ukishakua na tabia ya kuweka vinyongo na kuamini kuwa ukidunda interview basi umefanyiwa figisu, kwanza haitakusaidia kitu, pili kila siku utakua hufanyii kazi mapungufu yako,badala yako unalaumu tu kuwa 'kujuana kwingi'. Ni sumu kubwa sana.

3. Usiende kwenye interview kichwa kichwa huku hujajiandaa, upo upo tuu!! Huna hata taarifa za msingi kuhusu hiyo organization/kampuni, hujui hata mission na vision ya hiyo kampuni, hata ukiambiwa utaji kazi tatu za hiyo organization, hujui!! Jiandae, na ujinoe haswa kwanza, kuhusu technical part of kazi unayoomba, lakini pia kuhusu basic information ya hiyo organization.

4. Usiogope ku apply nafasi ya kazi au kwenda kwenye interview eti kwa sababu labda nafasi yenyewe ni moja tuu au mbili. Maisha ni mapambano, wewe endelea kusubiri hadi ukiona wanahitajika watu 10 au 20 ndo u apply, utazidi kuchina kitaa. Mimi nilikua na apply na nikiitwa interview natia timu, hata kama nafasi ni moja, najua huu ni mpambano na chochote kinaweza kutokea, nikipata mswano, nikidunda i collect myself, naendelea na kupambana. Na kiuhalisia sasa, nafasi nyingi zenye maslahi mazuri ni zile ambazo utakuta anahitajika mtu mmoja tuu!! Usikubali kushindwa, untill it's over!!

vvm
Mkuu huu uzi unastahili heshima sana.

Kwa ufupi interviews nilizofeli mpaka sasa.
Stanbic
Standard Chattered Bank
BRELA
TAA (Mara mbili)
Nyati Cement
Metro
NMB
DTB

Ila sikomi na bado nakomaa though mpaka leo bado sina ajira
 
Mkuu nimekusoma vizuri kila baada ya nukta ...naomba kufahamu kwanini sehemu uliyopatia kazi uliendelea kukomalia zaidi tofauti na sehemu za mara ya kwanza?
 
Back
Top Bottom