itara
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 2,240
- 1,576
hamna kitu kiliniuma kama ile siku niliyokuja hapo ofisini kwako nikiwa nina hustle at least nipate u volunteer, pale reception nilipo omba kuonana na HR wakanikatalia nikawaambia shida yangu walichofanya wakanipa form ya kujaza kama volunteer fomu yenyewe ni sawa na mtu anaeandaa disertation! nikajisemeza poa nikaideku nikasema ok..
nikaenda home mambo yakiwa bado magumu nikaona ni rudi tena duh hio siku ndo sito sahau maana nilikuwa na bahasha yangu ya CV nikapitiliza tena ili nikakutane na HR mara pap nikaambiwa kwa maombi ya kazi au chochote natikiwa ni ache CV pale getinkwa mlinzi nakumbuka nilirudi kama ili nishuke gorofa yenu niende nikampe yule mlinzi huku niendelea kuwa nikasema shuba miti yaani nimetoka huko uyole mpaka pale halafu nirudi bila ku mdekeree HR wai nikavuta handbrake nikapiga u-turn nikavizia PS kajipindua nikazama ndichi kwa HR wenu kule nako sijui nilikutana na na vivolunteer kashkaji kamoja kalinitolea mbovu ‘kwa sasa hatuajiri ‘ mie nikamjibu sitaki ajira ila nataka kujitolea’ wakati najibizana naye kwa upole na sauti yangu ya kutokea kooni nikauliza naomba kuongea na HR duh mara akaingia dada flani white anajisitiri basi moyo wangu ukawapasuka kwa furaha .. akaulizia nina shida gani ... nikamueleza akanisikia ila nikaongeza kuwa nataka kazi hata kama ni bure... akaniuliza fani yangu.. nikamjibu na nikaanza kushuka nondo za mradi wao mpango kazi wangu , matokeo yaani nilishuka kama vile niko CNN au kule wanapohojiwa mastaa.. kiukweli yule dada alifurahi akaipokea bahasha yangu kwa ajili ya reference na akaniambia baada ya wiki watatoa tangazo la kazi hivyo niombe na watatoa kupia gazeti au ule mtandao..
basi ndo hivyo walivyonitoa, nikasubiri hio wiki duh hola, mara hola holaaa kimyaa. duh nikawa najilaumu kwanini sikuchukua ile namba ya yule HR.
kwa hio kama ulivyoteseka brother kuipata hio position basi hao majamaa wanaojitolea hapo jaribu kuwa fevour na kuwasaidia kwa namna yeyote pia sio vizuri kuwaambia wateja wenu wanaotaka kazi wakaziache kule kwa mlinzi kiukweli inatia hasira maana kwa mlizi penyewe ni pale nje na huko palivyo na upepo na mvua mara mabahasha yetu kuyaacha exposed vile sio vizuri.
kwa sasa nipo kitaa naangalia ndinga zenu zinavyokatiza vijijini huku wakikusanya viazi na ndizi baada ya kutoka kwenye miradi yenu.
nikaenda home mambo yakiwa bado magumu nikaona ni rudi tena duh hio siku ndo sito sahau maana nilikuwa na bahasha yangu ya CV nikapitiliza tena ili nikakutane na HR mara pap nikaambiwa kwa maombi ya kazi au chochote natikiwa ni ache CV pale getinkwa mlinzi nakumbuka nilirudi kama ili nishuke gorofa yenu niende nikampe yule mlinzi huku niendelea kuwa nikasema shuba miti yaani nimetoka huko uyole mpaka pale halafu nirudi bila ku mdekeree HR wai nikavuta handbrake nikapiga u-turn nikavizia PS kajipindua nikazama ndichi kwa HR wenu kule nako sijui nilikutana na na vivolunteer kashkaji kamoja kalinitolea mbovu ‘kwa sasa hatuajiri ‘ mie nikamjibu sitaki ajira ila nataka kujitolea’ wakati najibizana naye kwa upole na sauti yangu ya kutokea kooni nikauliza naomba kuongea na HR duh mara akaingia dada flani white anajisitiri basi moyo wangu ukawapasuka kwa furaha .. akaulizia nina shida gani ... nikamueleza akanisikia ila nikaongeza kuwa nataka kazi hata kama ni bure... akaniuliza fani yangu.. nikamjibu na nikaanza kushuka nondo za mradi wao mpango kazi wangu , matokeo yaani nilishuka kama vile niko CNN au kule wanapohojiwa mastaa.. kiukweli yule dada alifurahi akaipokea bahasha yangu kwa ajili ya reference na akaniambia baada ya wiki watatoa tangazo la kazi hivyo niombe na watatoa kupia gazeti au ule mtandao..
basi ndo hivyo walivyonitoa, nikasubiri hio wiki duh hola, mara hola holaaa kimyaa. duh nikawa najilaumu kwanini sikuchukua ile namba ya yule HR.
kwa hio kama ulivyoteseka brother kuipata hio position basi hao majamaa wanaojitolea hapo jaribu kuwa fevour na kuwasaidia kwa namna yeyote pia sio vizuri kuwaambia wateja wenu wanaotaka kazi wakaziache kule kwa mlinzi kiukweli inatia hasira maana kwa mlizi penyewe ni pale nje na huko palivyo na upepo na mvua mara mabahasha yetu kuyaacha exposed vile sio vizuri.
kwa sasa nipo kitaa naangalia ndinga zenu zinavyokatiza vijijini huku wakikusanya viazi na ndizi baada ya kutoka kwenye miradi yenu.