Ndio neno Mungu ni cheo tu mdau, ndio maana Mwenyenzi Mungu anasema usiabudu miungu wengine ila mimi tu. Yeye ana majina yake tofauti kabisa na kajitofautisha na wengine kajiita wenye enzi Mungu yaan yeye anataawala enzi zote anaitwa pia Yahwe Yehova nk.
Uko sawa kabisa kuna mda baadhi ya vitu kijiweni unashindwa kuwaelewesha na kuwajuza watu sababu wa ubishi wa kujua kumbe hawajui. Huwa napenda kuwaambia kama unajua kidogo jifunze kukaa kimya upate maarifa mapya na utalijua jambo kwa mapana bila kuwa na mehemko.
Ni kweli mwaka huu mwanzo I wananchi kupitia Moshi Fm walimuuliza, ni nini sababu ya kukata miti na migomba?. Alijibi kwa dharau sana wananchi wanadai hakukua na lazima kwa kuwa ijenzi kulikuwa hauanzi papo hapo. Hivyo wangeacha ndizi zilizokuwa zinakomaa zimalizike kukomaa alisema ukifika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.