Recent content by Apeche alolo

  1. Apeche alolo

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    yaah naaona leo hata tent linafungwa na baadhi ya uzio umeondolewa.
  2. Apeche alolo

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    jamaa wana siri sana mbona hawasemi.
  3. Apeche alolo

    Wabongo Jengeni Tabia Ya Kusoma Vitabu Muongeze Maarifa, Maudhui na Uwezo wa Kufikiri

    kweli booora kucheka maana utatumia nguvu nyingi kuelewesha watu wasio tayari.
  4. Apeche alolo

    Wabongo Jengeni Tabia Ya Kusoma Vitabu Muongeze Maarifa, Maudhui na Uwezo wa Kufikiri

    ni balaa na wanatoka hadi mishipa kusimamia kweli ambayo sio.
  5. Apeche alolo

    Mungu siyo mmoja, kuna Mungu wengi. Why?

    Ndio neno Mungu ni cheo tu mdau, ndio maana Mwenyenzi Mungu anasema usiabudu miungu wengine ila mimi tu. Yeye ana majina yake tofauti kabisa na kajitofautisha na wengine kajiita wenye enzi Mungu yaan yeye anataawala enzi zote anaitwa pia Yahwe Yehova nk.
  6. Apeche alolo

    Wabongo Jengeni Tabia Ya Kusoma Vitabu Muongeze Maarifa, Maudhui na Uwezo wa Kufikiri

    Uko sawa kabisa kuna mda baadhi ya vitu kijiweni unashindwa kuwaelewesha na kuwajuza watu sababu wa ubishi wa kujua kumbe hawajui. Huwa napenda kuwaambia kama unajua kidogo jifunze kukaa kimya upate maarifa mapya na utalijua jambo kwa mapana bila kuwa na mehemko.
  7. Apeche alolo

    Hivi wenzetu mnaotumia Facebook mna akili timamu kweli?

    Inategemea na namna unavyoitumia hio platfom mkuu.
  8. Apeche alolo

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sa ivi washakuwa nyani kila mtu unateleza kwao
  9. Apeche alolo

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Usinivunje mavu zangu namwona mjua mkali a hapo anashangaa jua.
  10. Apeche alolo

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Fubricated bos😂😂😂😂
  11. Apeche alolo

    Moshi vijijini maji hakuna, ni kero kubwa

    Ni kweli mwaka huu mwanzo I wananchi kupitia Moshi Fm walimuuliza, ni nini sababu ya kukata miti na migomba?. Alijibi kwa dharau sana wananchi wanadai hakukua na lazima kwa kuwa ijenzi kulikuwa hauanzi papo hapo. Hivyo wangeacha ndizi zilizokuwa zinakomaa zimalizike kukomaa alisema ukifika...
  12. Apeche alolo

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Yaah! Iliwahi Nikita mwezi wa 5 watu wanasafiri Sana aise afu watu wanakata tiket Juu tuu siku hizi hawataki kubabaishwa.
Back
Top Bottom