Acha kuover thinking relax mdogo wangu. ukiwa na matatizo usipende kukaa kimya ongea na watu, omba ushauri hii pia husababisa ukiwa na stress sana. NB zingatia mazoezi ya kutembea umbali mrefu kula matunda vitu asili .
Wa cuba nimeelewa ila vipi cake ya taifa mnataka muile wenyewe?. Tukitakka tupaate cake na sisi mnatuita majina mabaya na mikono yetu mnaichafua kwa mchanga ili tuwe wachafu mbele ya umati tusile, sio sawa kabisa.
Yule aliyewahi kuuliwa kigogo sambusa mbona wauwaji walishikwa na wametoka wanatamba nje huku hawakukaa hata mwaka. Usiamini show off za jeshi la polisi vitendo vya ufunjifu wa sheria vinafanyika waziwazi, mtu akienda kituoni kutoa taarifa mhusika anakamatwa ukitoka kesho yupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.