Recent content by Antony Fereji

  1. Antony Fereji

    Ukicheki hizi movie, hutajutia

    Download apps zinaitwa cinema box, megabox, showbox na tubemate. Download kupitia google
  2. Antony Fereji

    Ipo siku, hili bus litaua watu kwa kweli!

    Habari zenu mabibi na mabwana. Natumai mu wazima wa afya. Nimeamua kuja mbele yenu nikifofia usalama abiria wanaopanda mara nyingi hili bus linalo fahamika kwa jina la SIJALI. Kila asubuhi naliona hili bus likiondoka kwa mwendo wa kasi bila kujali sheria za usalama barabarani, huku abiria...
  3. Antony Fereji

    Hivi ni kweli sayansi ya Tanzania ni sawa na sayansi ya Marekani na India?

    Sayansi ya tz ni 'African science' ya kuruka na ganda la karanga tu. Over!!!
  4. Antony Fereji

    Ukicheki hizi movie, hutajutia

    Nimeona watu kadhaa wakiuliza sana kuhusu horror movies, hususani majina yake. Hakuna movie nnayo angalia zaidi ya horro movie, Mara mojamoja action movies tena zile kali. Lakini kama ukiniuliza ni movie gani yenye maudhui yakuogofya (Horror movie) unataka kuangalia na hujawahi kuiona, bila...
  5. Antony Fereji

    Kitendo cha CHADEMA 'kuimport' viongozi wa Kanda kutoka Kaskazini, je nini nyuma ya pazia?

    Me mwenyewe nimeanza kuwa na wasiwasi na mwenendo huu.
  6. Antony Fereji

    Mabadiliko ni Utekelezaji wa Ahadi. Jiji la DSM mwaka mmoja chini ya CHADEMA

    Hivi vipropagandist vya ccm kweli. Mmeshindwa miaka 50 cdm wataweza mwaka mmoja?
  7. Antony Fereji

    Ushauri kwa huyu mwenzetu, muda wowote anaweza jiua

    Duu! Jamaa ulivyo ipamba storiei utafikiri kweli!
  8. Antony Fereji

    Kaka yangu Heche, tangu lini vi- nchi vidogo vya watu milioni 25 vikawa na taasisi huru?

    IMG]https://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/e0fcb8eebb78b045b93d3895a750d6ed.jpg[/IMG]
  9. Antony Fereji

    Tigo acheni uhuni wa darasa la pili B

    Kwanza limtandao lao linazingua huku nyanda za juu
  10. Antony Fereji

    Gazeti la MIZANI na uchochezi dhidi ya Rais, Waziri Nape lifute hili gazeti

    Rudisheni kwanza pesa za rambirambi, acha kutujaza ujinga wako.
  11. Antony Fereji

    Pale Bunge linapokuwa genge la wahuni.

    Huwa nakereka sana pale mbunge, tena mtu mzima badala kuongelea musuala ya msingi, anaanza kuongea masuala binafsi, mipasho, na majungu. Mfano, mtu anakurupuka, "Mh naibu spika tutoe ile sanamu Posta tuweke ya Diamond". Haya nimatope au akili? Tabia nyingine chafu, utakuta mtu anasimama, " Mh...
Back
Top Bottom