Habari zenu mabibi na mabwana. Natumai mu wazima wa afya.
Nimeamua kuja mbele yenu nikifofia usalama abiria wanaopanda mara nyingi hili bus linalo fahamika kwa jina la SIJALI.
Kila asubuhi naliona hili bus likiondoka kwa mwendo wa kasi bila kujali sheria za usalama barabarani, huku abiria...
Nimeona watu kadhaa wakiuliza sana kuhusu horror movies, hususani majina yake. Hakuna movie nnayo angalia zaidi ya horro movie, Mara mojamoja action movies tena zile kali.
Lakini kama ukiniuliza ni movie gani yenye maudhui yakuogofya (Horror movie) unataka kuangalia na hujawahi kuiona, bila...
Huwa nakereka sana pale mbunge, tena mtu mzima badala kuongelea musuala ya msingi, anaanza kuongea masuala binafsi, mipasho, na majungu.
Mfano, mtu anakurupuka, "Mh naibu spika tutoe ile sanamu Posta tuweke ya Diamond". Haya nimatope au akili?
Tabia nyingine chafu, utakuta mtu anasimama, " Mh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.