Kwani historia ya Mheshimiwa ishaanza kufundishwa.
Je Mheshimiwa day teyari ishakuwa authorized
Vipi lile sanamu pendwa
Siamini kama wamepandisha vifurushi kabla????
Dogo kama unataka kusoma hiyo course tulia kwanza tafuta watu wa career hiyo wakupe A, B, C.
Ukikosa nambie nikupe namba za Graduates wa hiyo BAF na course nyinginezo za huko SOB
Me nimemaliza mwaka huu Mzumbe na bado nipo viunga hivi I'm speaking experience not references.
yaan hesabu ya Baf au Bba ifanane na Bhrm??
Qms 100 na Qms 102 zinafanana kweli we jamaa. Embu kama huna taarifa tulia tu usimpotoshe dogo, tena usije ukamwambia hata ile introductory account ya huko Bhrm na Baf ni sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.