Shahada 4 vs. Akili ya kuzaliwa

Shahada 4 vs. Akili ya kuzaliwa

Jambo la msingi hapa ni hili: akili ni nini?

Kila mtu ana akili. Kile kinachoweza kuwa manufaa ya akili huitwa maarifa.

Aliye na maarifa ni pia mwenye elimu. Lakini mwenye elimu anaweza asiwe na maarifa.
 
Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.
Alisema hivi: Akili ni kile unachobaki nacho baada ya kuwa umepoteza mchanganuo wote wa baadhi tu ya yale uliyowahi kufundishwa
Hapa hamaanishi kuwa "baada ya kuwa umepoteza mchanganuo wote wa yale yote uliyowahi kufundishwa, hapana". Ni baada ya kuwa umepoteza mchanganuo wote wa baadhi tu ya yale uliyowahi kufundishwa
Ukipoteza yote uliyofundishwa maana yake unakuwa kichaa ambaye hana memory, kwa sababu essentially yote uliyonayo kwenye ubongo ni ya kujifunza, na hivyo umefundishwa. Hata kama ulijifunza wewe mwenyewe, inamaanisha akili yako imeyatunza kama mambo uliyowahi kuifundishwa, kwa hiyo wewe kama wewe umefundishwa hata kwa yale ambayo uliwahi kujifunza mwenyewe, ubongo wako umeyatunza hivyo. Ukipoteza chote ilichofundishwa maana yake unapoteza memory yote, unakuwa binadamu kwa umbo tu ila kwa akli ni kitu kingine, almost alive dead!

Education is what is left after all the details are lost! ...... and not after all the education is lost
 
Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.

Kwa mujibu wa Einstein kuna watu wakiondoa yale waliyofundishwa darasani, vichwa vyao vinabaki vitupu. Kitu pekee walichojaza kichwani ni walichofundishwa darasani. Hawa ndio hujisifia vyeti, au idadi ya "digrii" walizonazo. Hawana akili, japo wana elimu.

Einstein alisema hakuna uhusiano kati ya elimu na akili. Kuna watu wana elimu lakini hawana akili, na wengine wana akili lakini hawana elimu. Ni bora uwe na akili ukose elimu, kuliko uwe na elimu ukose akili.

Icons wa Sayansi kama Isaac Newton, Galileo Galilei na Archimedes of Syracuse hawakuwa na elimu yoyote ya cheti, diploma wala degree, lakini walikua na AKILI. Ugunduzi wao mpaka leo unaiongoza dunia.

Akili siku zote ni "superior" kuliko elimu kwa sababu akili ndio ilibuni elimu. Yani watu wenye akili walikaa wakaweka utaratibu wa mtu kukaa darasani na kujifunza kwa kipindi fulani, kisha apimwe kwa mitihani na atunukiwe cheti. Ubunifu huo ulifanywa na wenye akili. Kama huamini jiulize mtu wa kwanza kutunukiwa degree duniani alifundishwa na nani?

So mtu mwenye akili lakini akakosa elimu, ni msaada kwa jamii kuliko mtu mwenye elimu lakini akakosa akili. Mark Zukerberg hakumaliza shule lakini kwa kutumia akili amebuni mifumo rahisi ya mawasiliano kupitia mtandao.

Yeye ndiye mmiliki wa Facebook, Whatsapp na Instagram. Wale maprofesa waliomuona "kilaza" darasani leo wanatumia ubunifu wake kuendesha maisha yao. Kama sio FB basi wanatumia Instagram au Whatsapp. Maprofesa wenye elimu kubwa wamezidiwa ujanja na "kilaza" mwenye Akili.

Usijidharau kwa uchache wa madarasa ulionayo, unaweza kuwa na akili nyingi kuliko mwenye degree 4.

Kumbuka Einstein alisema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani. Jiulize ukiondoa yale uliyofundishwa darasani unabaki na nini? Yani ukiondoa hiyo diploma, degree au PhD unayojivunia, kichwa chako kinabaki na nini?

Kama kuna kitu kinabakia basi hicho kinachobakia kinaitwa "AKILI". Na kama hamna kinachobakia basi hilo bichwa halina tofauti na mtungi wa gesi.
#SinaAkili
#NinaDegree4

Malisa GJ
Huu uzi ndo nauona leo, jamaa alifunga kamba watu eti Newton hakwenda shule😂😂😂 wakati Newton kasoma chuo Cambridge university nakamaliza, pia eti Mark Zuck alikuwa kilaza ni uongo mtu mara hakusoma ,Mark alipiga shule baada ya shule kumsaidia kuvumbua Facebook akaona atumie muda wake huko maana tayari elimu imemkomboa , kitu sawa tu na Bill gates, watu wasiwachulie poa watu walio droup out from schools
 
Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.

Kwa mujibu wa Einstein kuna watu wakiondoa yale waliyofundishwa darasani, vichwa vyao vinabaki vitupu. Kitu pekee walichojaza kichwani ni walichofundishwa darasani. Hawa ndio hujisifia vyeti, au idadi ya "digrii" walizonazo. Hawana akili, japo wana elimu.

Einstein alisema hakuna uhusiano kati ya elimu na akili. Kuna watu wana elimu lakini hawana akili, na wengine wana akili lakini hawana elimu. Ni bora uwe na akili ukose elimu, kuliko uwe na elimu ukose akili.

Icons wa Sayansi kama Isaac Newton, Galileo Galilei na Archimedes of Syracuse hawakuwa na elimu yoyote ya cheti, diploma wala degree, lakini walikua na AKILI. Ugunduzi wao mpaka leo unaiongoza dunia.

Akili siku zote ni "superior" kuliko elimu kwa sababu akili ndio ilibuni elimu. Yani watu wenye akili walikaa wakaweka utaratibu wa mtu kukaa darasani na kujifunza kwa kipindi fulani, kisha apimwe kwa mitihani na atunukiwe cheti. Ubunifu huo ulifanywa na wenye akili. Kama huamini jiulize mtu wa kwanza kutunukiwa degree duniani alifundishwa na nani?

So mtu mwenye akili lakini akakosa elimu, ni msaada kwa jamii kuliko mtu mwenye elimu lakini akakosa akili. Mark Zukerberg hakumaliza shule lakini kwa kutumia akili amebuni mifumo rahisi ya mawasiliano kupitia mtandao.

Yeye ndiye mmiliki wa Facebook, Whatsapp na Instagram. Wale maprofesa waliomuona "kilaza" darasani leo wanatumia ubunifu wake kuendesha maisha yao. Kama sio FB basi wanatumia Instagram au Whatsapp. Maprofesa wenye elimu kubwa wamezidiwa ujanja na "kilaza" mwenye Akili.

Usijidharau kwa uchache wa madarasa ulionayo, unaweza kuwa na akili nyingi kuliko mwenye degree 4.

Kumbuka Einstein alisema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani. Jiulize ukiondoa yale uliyofundishwa darasani unabaki na nini? Yani ukiondoa hiyo diploma, degree au PhD unayojivunia, kichwa chako kinabaki na nini?

Kama kuna kitu kinabakia basi hicho kinachobakia kinaitwa "AKILI". Na kama hamna kinachobakia basi hilo bichwa halina tofauti na mtungi wa gesi.
#SinaAkili
#NinaDegree4

Malisa GJ
Intellect sio akili mkuu.
Pia hakuna mtu ambaye hana akili
 
Mkuu embu rudia tena kusoma ulichoandika...kama elimu ni ile unayobaki nayo baada ya kupoteza vyote ulivyofundishwa darasani je ni ipi?

Maana elimu uliipata darasana na sasa umeipoteza unawezaje kubaki na elimu tena..utakachobaki nacho ni akili maana ata kabla ujaijua elimu akili ulikua nayo!
akili ni gari na elimu ndiyo dereva, sasa poteza vyote ulivyosoma na udhani kwamba utaendelea kutambua maandishi na kuyaandika Kama unavyofanya saivi hapa jf
 
Huku kwetu, maboss wote wameishia 4-kushaka chini Na kwenye mishe zao wanaajiri walio soma, ko kwenye hilo siwezi kubisha, Na wewe ulie sema wasio soma ndo vibarua, pole yako kaka
 
Alisema education is what remains after one has forgotten what has learned from school
Kwanza nnashindwa kuelewa mpaka hapo kuna uhusiano gani kati ya education na akili mleta mada
Tuanzie hapo alafu ngoja niendelee kusoma zaidi
 
Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.

Kwa mujibu wa Einstein kuna watu wakiondoa yale waliyofundishwa darasani, vichwa vyao vinabaki vitupu. Kitu pekee walichojaza kichwani ni walichofundishwa darasani. Hawa ndio hujisifia vyeti, au idadi ya "digrii" walizonazo. Hawana akili, japo wana elimu.

Einstein alisema hakuna uhusiano kati ya elimu na akili. Kuna watu wana elimu lakini hawana akili, na wengine wana akili lakini hawana elimu. Ni bora uwe na akili ukose elimu, kuliko uwe na elimu ukose akili.

Icons wa Sayansi kama Isaac Newton, Galileo Galilei na Archimedes of Syracuse hawakuwa na elimu yoyote ya cheti, diploma wala degree, lakini walikua na AKILI. Ugunduzi wao mpaka leo unaiongoza dunia.

Akili siku zote ni "superior" kuliko elimu kwa sababu akili ndio ilibuni elimu. Yani watu wenye akili walikaa wakaweka utaratibu wa mtu kukaa darasani na kujifunza kwa kipindi fulani, kisha apimwe kwa mitihani na atunukiwe cheti. Ubunifu huo ulifanywa na wenye akili. Kama huamini jiulize mtu wa kwanza kutunukiwa degree duniani alifundishwa na nani?

So mtu mwenye akili lakini akakosa elimu, ni msaada kwa jamii kuliko mtu mwenye elimu lakini akakosa akili. Mark Zukerberg hakumaliza shule lakini kwa kutumia akili amebuni mifumo rahisi ya mawasiliano kupitia mtandao.

Yeye ndiye mmiliki wa Facebook, Whatsapp na Instagram. Wale maprofesa waliomuona "kilaza" darasani leo wanatumia ubunifu wake kuendesha maisha yao. Kama sio FB basi wanatumia Instagram au Whatsapp. Maprofesa wenye elimu kubwa wamezidiwa ujanja na "kilaza" mwenye Akili.

Usijidharau kwa uchache wa madarasa ulionayo, unaweza kuwa na akili nyingi kuliko mwenye degree 4.

Kumbuka Einstein alisema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani. Jiulize ukiondoa yale uliyofundishwa darasani unabaki na nini? Yani ukiondoa hiyo diploma, degree au PhD unayojivunia, kichwa chako kinabaki na nini?

Kama kuna kitu kinabakia basi hicho kinachobakia kinaitwa "AKILI". Na kama hamna kinachobakia basi hilo bichwa halina tofauti na mtungi wa gesi.
#SinaAkili
#NinaDegree4

Malisa GJ

Wewe endeleza upuuzi wako wa kupotosha jamii na usipeleke watoto shule

Kwa taarifa yako galileo alisomea pisa university
Mack Zuckerberg alisomea havard university ali drop out japo baadae walimtunuku honour degree

Newton na yeye alisoma pia na kuhitimu juu plus degree 1665
Galileo the same na yeye pia amesomea pisa university

Sasa wewe usisome utegemee kuna akili za kuzaliwa
Alafu kutokumaliza chu haina maana ya kwamba ndio nini labda hayo ni maamuzi binafsi ya mtu kutokana na ufanisi wake wa kufanya utatuzi wa mambo
 
Back
Top Bottom